Kwa pira hili la yanga ya Gamondi ya msimu huu, niwasihi CAF wawape tu yanga kombe lao la bingwa wa CAFCl mapeeeema. Siioni timu yoyote Africa ya kuweza kuuzuia huu upepo wa kisuli suli nje au ndani.
Na kwa anayenunua magoli, mwambieni mwaka huu ajipange. Maana kuna uwezekano hazina yeke ya Tsh ikakauka... akashindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara yao.
PS: Na nyie robo robo fc, kwa pira lenu hili la patua patua, mtafia Ndola. Mkija NBC league tunapiga 5-0 kwenye mshono. Msimu huu Mtajua hamjua
Na kwa anayenunua magoli, mwambieni mwaka huu ajipange. Maana kuna uwezekano hazina yeke ya Tsh ikakauka... akashindwa hata kulipa wafanyakazi wake mishahara yao.
PS: Na nyie robo robo fc, kwa pira lenu hili la patua patua, mtafia Ndola. Mkija NBC league tunapiga 5-0 kwenye mshono. Msimu huu Mtajua hamjua