Malengo ya Yanga kwa msimu huu yametimia, ila bado wana safari ndefu

Sella turcica

Senior Member
Oct 13, 2020
104
193
Habari wanabodi, sote tunajua ukizungumzia mpira wa Tanzania basi unazungumzia Simba na Yanga. Kwa miaka minne mfululizo timu ya Simba imefanikiwa kutawala soka la Tanzania kwa kubeba ubingwa mara 4 mfululizo na sasa imejikita zaidi katika michuano ya kimataifa.

Katika kipindi hicho malengo ya Yanga yalikuwa kuifunga Simba. Yani hata wakikosa ubingwa sawa, ilimradi mtani amekufa. Msimu huu naona wamejipanga kwelikweli na sioni cha kumzuia Yanga kuchukua ubingwa, labda kumzuia kuchukua bila kupoteza mchezo.

Lakini perfomance ya Yanga kwa upande wa kimataifa imekuwa sio nzuri. Mimi sijui historia sana ila hii timu huwa inatamba hapa nyumbani tu, ikitoka nje ya mipaka ni aibu tupu.

Challenge waliyo nayo sasa ni kufanya vizuri kimataifa. Tuachane na kufika robo fainali kama ambavyo Simba ilifika msimu uliopita, angalau wafuzu kuingia kwenye hatua makundi.

Timu iliyoanzishwa mwaka 1935 haitakiwi kuishia kuwaza kuwa bingwa wa ligi kuu bara pekee, inatakiwa iwaze kupambana na miamba mingine ya Africa na dunia kwa ujumla.

Ubingwa msimu huu watachukua, swali ni je, watafika makundi au ndo yale yale kufungwa nyumbani na ugenini? Naamini muda utatupa majibu.
 
Timu la hovyo sana hilo mkuu, husitegemee cha maana kimataifa kutoka kwao.

Waliwahi kufurahia kupanda ndege tu walipokuwa wanashiriki kimataifa. Ni timu ambayo inaamini sana ulozi ndio maana mechi kubwa hawaingii uwanjani kupitia geti rasmi. Ni timu ambayo bado iko enzi za mawe.
 
Timu la hovyo sana hilo mkuu, husitegemee cha maana kimataifa kutoka kwao.

Waliwahi kufurahia kupanda ndege tu walipokuwa wanashiriki kimataifa. Ni timu ambayo inaamini sana ulozi ndio maana mechi kubwa hawaingii uwanjani kupitia geti rasmi. Ni timu ambayo bado iko enzi za mawe.
MAKOLO bhana! Aden Rage hakukosea kabisa kuyaita mashabiki ya Simba FC "MBUMBUMBU"

Sasa wewe mwenye timu nzuri kwanini utegemee mbeleko na makafara ya ajabu ajabu pale uwanjani kwa mkapa, manyau nyau meusi kukatiza katikati ya uwanja kabla ya mechi kuanza, kubamizwa hamsa hamsa na 3 - 0 ukiwa ugenini bila ya kubeba kombe lolote nnje ya TZ kwa miaka minne uliyobeba VPL kimchongo mchongo zaidi ya kuwa msindikizaji bora tu kwenye michuano ya mabingwa wa Afrika "CAF CHAMPIONS LEGUE" tangu litimu lenu la MAKOLO libinafsishwe
 
MAKOLO bhana! Aden Rage hakukosea kabisa kuyaita mashabiki ya Simba FC "MBUMBUMBU"

Sasa wewe mwenye timu nzuri kwanini utegemee mbeleko na makafara ya ajabu ajabu pale uwanjani kwa mkapa, manyau nyau meusi kukatiza katikati ya uwanja kabla ya mechi kuanza, kubamizwa hamsa hamsa na 3 - 0 ukiwa ugenini bila ya kubeba kombe lolote nnje ya TZ kwa miaka minne uliyobeba VPL kimchongo mchongo zaidi ya kuwa msindikizaji bora tu kwenye michuano ya mabingwa wa Afrika "CAF CHAMPIONS LEGUE" tangu litimu lenu la MAKOLO libinafsishwe
Ndio maana nimesema bado mko enzi za mawe, mnawaza pafupi. Bado mnaamini ili ufanikiwe inakubidi uwe mlozi.

Msimu wa jana Simba imetoa draw nyumbani kwa Al ahly kama sio kufungwa moja , ilikuwa ngumu sana miaka ya nyuma, lakini bado hamkubali.
Akili zenu zimeshikiliwa na viongozi wenu wanawaaminisha Utopolo kutofanya vizuri kimataifa sio issue kubwa, mnaaminishwa simba kufanya vizuri kimataifa ni sababu za fitina na akili zenu zinakubali.
 
MAKOLO bhana! Aden Rage hakukosea kabisa kuyaita mashabiki ya Simba FC "MBUMBUMBU"

Sasa wewe mwenye timu nzuri kwanini utegemee mbeleko na makafara ya ajabu ajabu pale uwanjani kwa mkapa, manyau nyau meusi kukatiza katikati ya uwanja kabla ya mechi kuanza, kubamizwa hamsa hamsa na 3 - 0 ukiwa ugenini bila ya kubeba kombe lolote nnje ya TZ kwa miaka minne uliyobeba VPL kimchongo mchongo zaidi ya kuwa msindikizaji bora tu kwenye michuano ya mabingwa wa Afrika "CAF CHAMPIONS LEGUE" tangu litimu lenu la MAKOLO libinafsishwe
Jaribu kutumia ubongo.

Ngoja na nyie mkabebwe mwakani. We're Ni mjima kweli, unawaza uchawi.

Safari yenu ndefu Sana. Mwakani mechi 2 out.
 
Malengo ya Yanga tunayakumbuka yalianzia klabu bingwa. "Tena sio tu kufika group stage,na kufika mbali zaidi" nukuu isiyo rasmi ya Press Ya HManara. RETURN OF CHAMPIONS
 
Habari wanabodi, sote tunajua ukizungumzia mpira wa Tanzania basi unazungumzia Simba na Yanga. Kwa miaka minne mfululizo timu ya Simba imefanikiwa kutawala soka la Tanzania kwa kubeba ubingwa mara 4 mfululizo na sasa imejikita zaidi katika michuano ya kimataifa.

Katika kipindi hicho malengo ya Yanga yalikuwa kuifunga Simba. Yani hata wakikosa ubingwa sawa, ilimradi mtani amekufa. Msimu huu naona wamejipanga kwelikweli na sioni cha kumzuia Yanga kuchukua ubingwa, labda kumzuia kuchukua bila kupoteza mchezo.

Lakini perfomance ya Yanga kwa upande wa kimataifa imekuwa sio nzuri. Mimi sijui historia sana ila hii timu huwa inatamba hapa nyumbani tu, ikitoka nje ya mipaka ni aibu tupu.

Challenge waliyo nayo sasa ni kufanya vizuri kimataifa. Tuachane na kufika robo fainali kama ambavyo Simba ilifika msimu uliopita, angalau wafuzu kuingia kwenye hatua makundi.

Timu iliyoanzishwa mwaka 1935 haitakiwi kuishia kuwaza kuwa bingwa wa ligi kuu bara pekee, inatakiwa iwaze kupambana na miamba mingine ya Africa na dunia kwa ujumla.

Ubingwa msimu huu watachukua, swali ni je, watafika makundi au ndo yale yale kufungwa nyumbani na ugenini? Naamini muda utatupa majibu.
Ni ngumu kwa mnafiki , msaliti , mzandiki , mchonganishi na mwenye roho ya husuda kufanikiwa katika Maisha.Hao watu mara nyingi Mungu huwa anawaweka pembeni kwanza. Maana anajua , wakifanikiwa huwa ni kero kwa watu wake
 
Aliyekwambia Yanga hajawahi kufika robo fainali Nani? Nadhani wewe Ni mashabiki vijana wa siku za hivi karibuni kwa hiyo si kosa lako, umeandika kutokana na story zenu za vijiweni
 
Timu la hovyo sana hilo mkuu, husitegemee cha maana kimataifa kutoka kwao.

Waliwahi kufurahia kupanda ndege tu walipokuwa wanashiriki kimataifa. Ni timu ambayo inaamini sana ulozi ndio maana mechi kubwa hawaingii uwanjani kupitia geti rasmi. Ni timu ambayo bado iko enzi za mawe.
Nlipo ona "husitegemee" nikadharau kila kitu
 
MAKOLO bhana! Aden Rage hakukosea kabisa kuyaita mashabiki ya Simba FC "MBUMBUMBU"

Sasa wewe mwenye timu nzuri kwanini utegemee mbeleko na makafara ya ajabu ajabu pale uwanjani kwa mkapa, manyau nyau meusi kukatiza katikati ya uwanja kabla ya mechi kuanza, kubamizwa hamsa hamsa na 3 - 0 ukiwa ugenini bila ya kubeba kombe lolote nnje ya TZ kwa miaka minne uliyobeba VPL kimchongo mchongo zaidi ya kuwa msindikizaji bora tu kwenye michuano ya mabingwa wa Afrika "CAF CHAMPIONS LEGUE" tangu litimu lenu la MAKOLO libinafsishwe
KWELI WW BWEGE. Tangu 1998 unabwabwaja. Nyan ni Nyan tu
 
Habari wanabodi, sote tunajua ukizungumzia mpira wa Tanzania basi unazungumzia Simba na Yanga. Kwa miaka minne mfululizo timu ya Simba imefanikiwa kutawala soka la Tanzania kwa kubeba ubingwa mara 4 mfululizo na sasa imejikita zaidi katika michuano ya kimataifa.

Katika kipindi hicho malengo ya Yanga yalikuwa kuifunga Simba. Yani hata wakikosa ubingwa sawa, ilimradi mtani amekufa. Msimu huu naona wamejipanga kwelikweli na sioni cha kumzuia Yanga kuchukua ubingwa, labda kumzuia kuchukua bila kupoteza mchezo.

Lakini perfomance ya Yanga kwa upande wa kimataifa imekuwa sio nzuri. Mimi sijui historia sana ila hii timu huwa inatamba hapa nyumbani tu, ikitoka nje ya mipaka ni aibu tupu.

Challenge waliyo nayo sasa ni kufanya vizuri kimataifa. Tuachane na kufika robo fainali kama ambavyo Simba ilifika msimu uliopita, angalau wafuzu kuingia kwenye hatua makundi.

Timu iliyoanzishwa mwaka 1935 haitakiwi kuishia kuwaza kuwa bingwa wa ligi kuu bara pekee, inatakiwa iwaze kupambana na miamba mingine ya Africa na dunia kwa ujumla.

Ubingwa msimu huu watachukua, swali ni je, watafika makundi au ndo yale yale kufungwa nyumbani na ugenini? Naamini muda utatupa majibu.
JamiiForums-826391833.jpg
 
Back
Top Bottom