nikiwe
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 775
- 345
Haha bado wewe, we endelea kugawa k kama karanga afterall huilipii vat
hakuna nini wala nini hapo!
mke hampendi tena si ajabu alilazimishwa au jamaa alimtenda sana wakati wa uchumba sasa kaamua revenge.
lol, eti mume anifume na mie nikubali eti nimelala na mijitu 6? ningemwambia mmoja tu tena mara moja then roho ingenisuta na ningejirekebisha mwenyewe tu kimyakimya.
mke gani huyo tena hajafundwa kabisa, wake waliofundwa huwa hawanogewi na mechi za nje wala hawakubali ukweli labda umfume live kainamishwa.
HAYA MABO YALIKUEPO TANGU ENZI ZA MABIBI BANA, SEMA WAO WALIFUNDWA WAKAFUNDIKA.