Kuna dogo mmoja alkua na div.one ya 8 PCB kaoma mara 3 kakosa paka sahv kaomba 4th roundHivi atakuwa kilaza wa namna gani aliyeomba chuo cha vilaza (yudomu) Mara tatu na akatemwa??
Wengi mmejadili suala lankurudisha wanafunzi.Tukumbuke lengo kuu la kupunguza ni kuwa nafasi udsm zimejaa.je,wakirudishwa kuna miundombinu itaandaliwa upya ila kuwawezesha wanafunzi hao kusoma kwa uhakika?
Hiki ndo kinaenda kutokea aiseeeWataenda kunyooshwa na UEs, lazima wapungue
Ndo hivyo inavoenda kuwa.Angalau wangeongeza miundombinu ingefaa zaidi maana elimu bure saiz enrollment ya wanafunzi inaongezeka sana.Au wanataka tuanze shift kama za mzumbe!!Wataenda kunyooshwa na UEs, lazima wapungue
Exactly hiki kinaenda kutokeaKama lengo ni kuwapunguza hata waziri hatosaidia kulazimisha...watawapunguza kupitia mitihani haitakuwa mara ya kwanza hapo waziri hajatoa solution ila kawatengenezea watu tatizo
Huyo dogo alichanganya madesa yeye mwnyw wakat wa kuapply...1.8? Tena ya PCB?? Sio nchi hii labdaKuna dogo mmoja alkua na div.one ya 8 PCB kaoma mara 3 kakosa paka sahv kaomba 4th round
Huwez amini kuna watu hasa wale waliokua wanatemwa first round ndio walikua wanaisema vibaya TCU. Eti walikua wanapangiwa vyuo ambavyo hawakuchagua. CAS kamwe haiwezi kukuchagua chuo usichotaka na wala haina undugu na mtuCAS was the best... .
Warudishe ule mfumo wa mwanzo ulikuwa vzuri sana, nimekutana na wanafunzi wanahangaika kweliNadhani haya mambo ya kutoa nafasi awamu nyingine wakati watu wenye vigezo waliomba na wakakosa toka awamu ya kwanza ni kwa sababu ya multiple selections.
Chuo kinachagua watu kwa Idadi kinayotaka lakini yakienda TCU ndio mambo ya multiple selections yanatokea. Na wakati wa kucomfirm watu wanacomfirm vyuo vingine. Hii hupelekea nafasi kubaki wazi. Kwahiyo tusilaumu sana vyuo kwa hili jambo. Wenye ufaulu mkubwa wanawabania nafasi wenzao.
Inabidi tukubali tu kuwa huu mfumo haufai na itakua jambo zuri tukirudi tu Ile system ya CAS. Tatizo mkulu atakubali kuwa alikosea?.
Ww hujamuelewa mtoa mada,sawa udsm wapo poa katika nyanja tofauti lakin kwa hili la kiutawala wanaweza kupata kitu kutoka mzumbeUnataka kiwe mzumbe? Kila taasisi ina culture yake. Hata kama kuna kadoro Udsm ila kuwaambia wakajifunze mzumbe ni kuwakosea; mzumbe has a lot to learn from Udsm and not the vise versa.