Kwa hili nawapongeza sana viongozi wa CHADEMA

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Sep 9, 2020
6,860
12,291
Ndugu zangu imezoeleka katika dunia ya leo kila mtu kutumia uongo na unafiki kufanya siasa nchini kwake. Njia hii ya uongo na unafiki imekuwa njia nzuri na yenye mafanikio ya haraka kwa wanasiasa hao.

Mfano tumeona wanasiasa mbali mbali duniani wakitumia uongo na unafiki kuvuna wanachama wengi mbumbumbu wasiojielewa na hata wachache wanaojielewa, tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kurubuni wapiga kura na hatimae kupigiwa kura

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kutafuna mamilioni ya ruzuku za vyama vyao ambazo zinatokana na kodi za wananchi tajiri na masikini

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki katika mikutano mbali mbali ya chama, iwe ya ndani au nje kukusanya michango kutoka kwa wananchi masikini na kugawanwa na wajanja wachache ndani ya chama husika.

Wakati hayo yakifanyika, wale wanaodanganywa ambao ni wananchi wa kawaida huishia kuumia rohoni kwa kupewa ahadi zisizotekelezwa. Katika style hii ya uongo na unafiki, wanasiasa wengi hutumia njia mbali mbali kuficha uongo na unafiki wao ili kuendelea kuwarubuni wadanganywa.

Lakini kwa viongozi wa Chadema kwao ni tofauti. Kila uongo na unafiki wao waliuweka hadharani ili wale wanaowaunga mkono waamue wenyewe, aidha waendelee kuwaunga mkono ili wawadanganye zaidi au waachane nao na kuendelea na mishe zingine za kujitafutia riziki kupitia akili zao, nguvu zao, mikono yao na maarifa yao.

Dunia hii mtu kuwa muongo na mnafiki halafu kuuweka hadharani uongo na unafiki wako sio jambo la mchezo. Pongeza kubwa kwa Chadema na wanachadema kwa kuupokea na kuukubali uongo na unafiki wote unaoletwa na viongozi wao wa juu bila kuhoji wala kuuliza chochote.

CLJbjIxXAAAHOcG.jpg


images (59).jpeg
 
Duu hata Mimi wa mbwinde sijamuelewa mleta maada. Tafadhali Rudi ukajifikirie upya.
Mwambie mwenyekiti akurudishie akili yako ndo utaelewa. Kwa sasa hauwezi kuelewa maana yeye ndo anadhibiti kila kitu kilichopo katika kichwa chako.
 
Ndugu zangu imezoeleka katika dunia ya leo kila mtu kutumia uongo na unafiki kufanya siasa nchini kwake. Njia hii ya uongo na unafiki imekuwa njia nzuri na yenye mafanikio ya haraka kwa wanasiasa hao.

Mfano tumeona wanasiasa mbali mbali duniani wakitumia uongo na unafiki kuvuna wanachama wengi mbumbumbu wasiojielewa na hata wachache wanaojielewa, tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kurubuni wapiga kura na hatimae kupigiwa kura

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kutafuna mamilioni ya ruzuku za vyama vyao ambazo zinatokana na kodi za wananchi tajiri na masikini

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki katika mikutano mbali mbali ya chama, iwe ya ndani au nje kukusanya michango kutoka kwa wananchi masikini na kugawanwa na wajanja wachache ndani ya chama husika.

Wakati hayo yakifanyika, wale wanaodanganywa ambao ni wananchi wa kawaida huishia kuumia rohoni kwa kupewa ahadi zisizotekelezwa. Katika style hii ya uongo na unafiki, wanasiasa wengi hutumia njia mbali mbali kuficha uongo na unafiki wao ili kuendelea kuwarubuni wadanganywa.

Lakini kwa viongozi wa Chadema kwao ni tofauti. Kila uongo na unafiki wao waliuweka hadharani ili wale wanaowaunga mkono waamue wenyewe, aidha waendelee kuwaunga mkono ili wawadanganye zaidi au waachane nao na kuendelea na mishe zingine za kujitafutia riziki kupitia akili zao, nguvu zao, mikono yao na maarifa yao.

Dunia hii mtu kuwa muongo na mnafiki halafu kuuweka hadharani uongo na unafiki wako sio jambo la mchezo. Pongeza kubwa kwa Chadema na wanachadema kwa kuupokea na kuukubali uongo na unafiki wote unaoletwa na viongozi wao wa juu bila kuhoji wala kuuliza chochote.

View attachment 2178935

View attachment 2178937
Ndiyo Shida ya vitoto vinavyolelewa na semeji.
 
Ndugu zangu imezoeleka katika dunia ya leo kila mtu kutumia uongo na unafiki kufanya siasa nchini kwake. Njia hii ya uongo na unafiki imekuwa njia nzuri na yenye mafanikio ya haraka kwa wanasiasa hao.

Mfano tumeona wanasiasa mbali mbali duniani wakitumia uongo na unafiki kuvuna wanachama wengi mbumbumbu wasiojielewa na hata wachache wanaojielewa, tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kurubuni wapiga kura na hatimae kupigiwa kura

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kutafuna mamilioni ya ruzuku za vyama vyao ambazo zinatokana na kodi za wananchi tajiri na masikini

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki katika mikutano mbali mbali ya chama, iwe ya ndani au nje kukusanya michango kutoka kwa wananchi masikini na kugawanwa na wajanja wachache ndani ya chama husika.

Wakati hayo yakifanyika, wale wanaodanganywa ambao ni wananchi wa kawaida huishia kuumia rohoni kwa kupewa ahadi zisizotekelezwa. Katika style hii ya uongo na unafiki, wanasiasa wengi hutumia njia mbali mbali kuficha uongo na unafiki wao ili kuendelea kuwarubuni wadanganywa.

Lakini kwa viongozi wa Chadema kwao ni tofauti. Kila uongo na unafiki wao waliuweka hadharani ili wale wanaowaunga mkono waamue wenyewe, aidha waendelee kuwaunga mkono ili wawadanganye zaidi au waachane nao na kuendelea na mishe zingine za kujitafutia riziki kupitia akili zao, nguvu zao, mikono yao na maarifa yao.

Dunia hii mtu kuwa muongo na mnafiki halafu kuuweka hadharani uongo na unafiki wako sio jambo la mchezo. Pongeza kubwa kwa Chadema na wanachadema kwa kuupokea na kuukubali uongo na unafiki wote unaoletwa na viongozi wao wa juu bila kuhoji wala kuuliza chochote.

View attachment 2178935

View attachment 2178937
Too late
 
Ndugu zangu imezoeleka katika dunia ya leo kila mtu kutumia uongo na unafiki kufanya siasa nchini kwake. Njia hii ya uongo na unafiki imekuwa njia nzuri na yenye mafanikio ya haraka kwa wanasiasa hao.

Mfano tumeona wanasiasa mbali mbali duniani wakitumia uongo na unafiki kuvuna wanachama wengi mbumbumbu wasiojielewa na hata wachache wanaojielewa, tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kurubuni wapiga kura na hatimae kupigiwa kura

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kutafuna mamilioni ya ruzuku za vyama vyao ambazo zinatokana na kodi za wananchi tajiri na masikini

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki katika mikutano mbali mbali ya chama, iwe ya ndani au nje kukusanya michango kutoka kwa wananchi masikini na kugawanwa na wajanja wachache ndani ya chama husika.

Wakati hayo yakifanyika, wale wanaodanganywa ambao ni wananchi wa kawaida huishia kuumia rohoni kwa kupewa ahadi zisizotekelezwa. Katika style hii ya uongo na unafiki, wanasiasa wengi hutumia njia mbali mbali kuficha uongo na unafiki wao ili kuendelea kuwarubuni wadanganywa.

Lakini kwa viongozi wa Chadema kwao ni tofauti. Kila uongo na unafiki wao waliuweka hadharani ili wale wanaowaunga mkono waamue wenyewe, aidha waendelee kuwaunga mkono ili wawadanganye zaidi au waachane nao na kuendelea na mishe zingine za kujitafutia riziki kupitia akili zao, nguvu zao, mikono yao na maarifa yao.

Dunia hii mtu kuwa muongo na mnafiki halafu kuuweka hadharani uongo na unafiki wako sio jambo la mchezo. Pongeza kubwa kwa Chadema na wanachadema kwa kuupokea na kuukubali uongo na unafiki wote unaoletwa na viongozi wao wa juu bila kuhoji wala kuuliza chochote.

View attachment 2178935

View attachment 2178937
Mawazo machafu unayojaribu kuwalazimisha wanachadema yaingie masikioni mwao,jua TU kuwa wanachama wao SII mbulila kama wale wakwenu hapo Chama chukua chako mapema 😜
 
Ndugu zangu imezoeleka katika dunia ya leo kila mtu kutumia uongo na unafiki kufanya siasa nchini kwake. Njia hii ya uongo na unafiki imekuwa njia nzuri na yenye mafanikio ya haraka kwa wanasiasa hao.

Mfano tumeona wanasiasa mbali mbali duniani wakitumia uongo na unafiki kuvuna wanachama wengi mbumbumbu wasiojielewa na hata wachache wanaojielewa, tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kurubuni wapiga kura na hatimae kupigiwa kura

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kutafuna mamilioni ya ruzuku za vyama vyao ambazo zinatokana na kodi za wananchi tajiri na masikini

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki katika mikutano mbali mbali ya chama, iwe ya ndani au nje kukusanya michango kutoka kwa wananchi masikini na kugawanwa na wajanja wachache ndani ya chama husika.

Wakati hayo yakifanyika, wale wanaodanganywa ambao ni wananchi wa kawaida huishia kuumia rohoni kwa kupewa ahadi zisizotekelezwa. Katika style hii ya uongo na unafiki, wanasiasa wengi hutumia njia mbali mbali kuficha uongo na unafiki wao ili kuendelea kuwarubuni wadanganywa.

Lakini kwa viongozi wa Chadema kwao ni tofauti. Kila uongo na unafiki wao waliuweka hadharani ili wale wanaowaunga mkono waamue wenyewe, aidha waendelee kuwaunga mkono ili wawadanganye zaidi au waachane nao na kuendelea na mishe zingine za kujitafutia riziki kupitia akili zao, nguvu zao, mikono yao na maarifa yao.

Dunia hii mtu kuwa muongo na mnafiki halafu kuuweka hadharani uongo na unafiki wako sio jambo la mchezo. Pongeza kubwa kwa Chadema na wanachadema kwa kuupokea na kuukubali uongo na unafiki wote unaoletwa na viongozi wao wa juu bila kuhoji wala kuuliza chochote.

View attachment 2178935

View attachment 2178937

Shida mnahangaika na chadema ambayo haipo madarakani Wala kwenye vyombo vya maamuzi halafu mnaiacha CCM yenye uwezo wa kupambana na mfumuko wa Bei ikiendelea kuboronga.
 
Ndugu zangu imezoeleka katika dunia ya leo kila mtu kutumia uongo na unafiki kufanya siasa nchini kwake. Njia hii ya uongo na unafiki imekuwa njia nzuri na yenye mafanikio ya haraka kwa wanasiasa hao.

Mfano tumeona wanasiasa mbali mbali duniani wakitumia uongo na unafiki kuvuna wanachama wengi mbumbumbu wasiojielewa na hata wachache wanaojielewa, tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kurubuni wapiga kura na hatimae kupigiwa kura

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kutafuna mamilioni ya ruzuku za vyama vyao ambazo zinatokana na kodi za wananchi tajiri na masikini

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki katika mikutano mbali mbali ya chama, iwe ya ndani au nje kukusanya michango kutoka kwa wananchi masikini na kugawanwa na wajanja wachache ndani ya chama husika.

Wakati hayo yakifanyika, wale wanaodanganywa ambao ni wananchi wa kawaida huishia kuumia rohoni kwa kupewa ahadi zisizotekelezwa. Katika style hii ya uongo na unafiki, wanasiasa wengi hutumia njia mbali mbali kuficha uongo na unafiki wao ili kuendelea kuwarubuni wadanganywa.

Lakini kwa viongozi wa Chadema kwao ni tofauti. Kila uongo na unafiki wao waliuweka hadharani ili wale wanaowaunga mkono waamue wenyewe, aidha waendelee kuwaunga mkono ili wawadanganye zaidi au waachane nao na kuendelea na mishe zingine za kujitafutia riziki kupitia akili zao, nguvu zao, mikono yao na maarifa yao.

Dunia hii mtu kuwa muongo na mnafiki halafu kuuweka hadharani uongo na unafiki wako sio jambo la mchezo. Pongeza kubwa kwa Chadema na wanachadema kwa kuupokea na kuukubali uongo na unafiki wote unaoletwa na viongozi wao wa juu bila kuhoji wala kuuliza chochote.

View attachment 2178935

View attachment 2178937
Upuuzi
 
Huna kazi ya kufanya . Unapoteza muda mwingine unaandika utoto.
Ndugu zangu imezoeleka katika dunia ya leo kila mtu kutumia uongo na unafiki kufanya siasa nchini kwake. Njia hii ya uongo na unafiki imekuwa njia nzuri na yenye mafanikio ya haraka kwa wanasiasa hao.

Mfano tumeona wanasiasa mbali mbali duniani wakitumia uongo na unafiki kuvuna wanachama wengi mbumbumbu wasiojielewa na hata wachache wanaojielewa, tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kurubuni wapiga kura na hatimae kupigiwa kura

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki kutafuna mamilioni ya ruzuku za vyama vyao ambazo zinatokana na kodi za wananchi tajiri na masikini

Tumeona wanasiasa hao wakitumia uongo na unafiki katika mikutano mbali mbali ya chama, iwe ya ndani au nje kukusanya michango kutoka kwa wananchi masikini na kugawanwa na wajanja wachache ndani ya chama husika.

Wakati hayo yakifanyika, wale wanaodanganywa ambao ni wananchi wa kawaida huishia kuumia rohoni kwa kupewa ahadi zisizotekelezwa. Katika style hii ya uongo na unafiki, wanasiasa wengi hutumia njia mbali mbali kuficha uongo na unafiki wao ili kuendelea kuwarubuni wadanganywa.

Lakini kwa viongozi wa Chadema kwao ni tofauti. Kila uongo na unafiki wao waliuweka hadharani ili wale wanaowaunga mkono waamue wenyewe, aidha waendelee kuwaunga mkono ili wawadanganye zaidi au waachane nao na kuendelea na mishe zingine za kujitafutia riziki kupitia akili zao, nguvu zao, mikono yao na maarifa yao.

Dunia hii mtu kuwa muongo na mnafiki halafu kuuweka hadharani uongo na unafiki wako sio jambo la mchezo. Pongeza kubwa kwa Chadema na wanachadema kwa kuupokea na kuukubali uongo na unafiki wote unaoletwa na viongozi wao wa juu bila kuhoji wala kuuliza chochote.

View attachment 2178935

View attachment 2178937
 
Back
Top Bottom