Kwa hili naona kama ni chuki

Kwa hili naona kama ni chuki

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,368
kuna vitu wasanii wanatufanya wajinga hata kirusi cha kuharibu data hatujui leo tukashindane na google kwenye youtube kudukua aka hack kweli [emoji23][emoji23]
IMG_20180513_213715_637.jpg
 
hii michezo uwa inatokea mtu kuongeza view you tube au kuongeza follows Instagram ,kwahyo kwa Ali kiba yawezekana imetokea hvyo japo anawaweza kulaumu upande was pili wa mondi kuwa kafanyiwa ujuma.
 
Huo wimbo ni mavi mavi nashangaa wanaomsifia mzuri..amebugi sana wimbo mzima anataja nchi za afrika
 
Wote kiba na mondi wakali,
Lakini kusema watu wamehaki viewers inawezekana au isiwezekane
 
Hata humu kuna mchezo wa kuongeza naniii wajanja wataelewa,mods kuweni kama you tube mtagundua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom