bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,641
Aisee hiki sio kibaridi bali ni baridi haswaa yaani kwa sie wagalagalaji kitandani peke yetu aisee tunaisoma namba sio polepoleNishatoka, watu wamelala zao wanaogopa hiki kibaridi uchwara!
Aisee hiki sio kibaridi bali ni baridi haswaa yaani kwa sie wagalagalaji kitandani peke yetu aisee tunaisoma namba sio polepoleNishatoka, watu wamelala zao wanaogopa hiki kibaridi uchwara!
Aah basi hata siendi tena.Uko wazi we nenda ukaingie, ila utakaa peke yako mpaka kukuche!
Alifia mbali ilishindikana aisee ila huyu pacha wake tutafanya hivyoAlivyokufa mlikumbuka kumtupa mto Kagera ili awe chakula cha mamba?
Nunua blanketiAisee hiki sio kibaridi bali ni baridi haswaa yaani kwa sie wagalagalaji kitandani peke yetu aisee tunaisoma namba sio polepole
Ngoja waibiwe ndo watakoma kuacha mlango waziUko wazi we nenda ukaingie, ila utakaa peke yako mpaka kukuche!
Acheni hizo, marehemu hutendwi ubaya!Alifia mbali ilishindikana aisee ila huyu pacha wake tutafanya hivyo
Blanketi la aina gani?Nunua blanketi
Basi twende bwana maana naona uzi wa watu tumeugeuza kijiwe chetu cha 'gahawa'Ngoja waibiwe ndo watakoma kuacha mlango wazi
Si inategemea aliyoyafanya enzi za uhai wake lakini?Acheni hizo, marehemu hutendwi ubaya!
Hahahaha hayo ndo mambo,lete mkono nikushike twende.Basi twende bwana maana naona uzi wa watu tumeugeuza kijiwe chetu cha 'gahawa'
Nunua blanketi
Hamna frustration hapoKwa life style yake..
Frustrations hazikwepeki.
Double standard. Sijui Amin yeye hakuwa mtu! Maana kwa huyo ilikuwa sawa ila kwa huyu Mungu hapendi!Hukuwahi imba ule wimbo wa idi amini akifa? Teh teh napita mkuu pascal!!
Hata hakimu kumfunga mwizi mahakamani ni kulipa ubaya kwa ubaya!Jibu langu ni kwamba usilipe ubaya kwa ubaya!
Kumbe ukweli unaujua Ila unataka kuupindisha!Roho nzuri haichagui, ukishaona kuna watu unawafanyia roho nzuri na wengine roho mbaya, tambua wazi kuwa roho yako ina walakini!
hahahaha unafikiri hata ingelikuwa hao wabunge ni wachadema wakienda kinyume na maagizo ya chama unafikiri wataambiwa nini? mnapenda kutosikia ukweli nyie...huo ndio ukweli wa vyama vyetu....
Huyu ni binadam tu anaeleweka vizuri tu sema ukimtilia maanani hapo ndiyo kabisa huwezi kumwelewa ila ukimchukulia kuwa ni binadam anaeleweka mbonaWatanzania wanaomwelewa huyu mtu hawafiki 10 out of 50 mil!! Hao wanaojifanya kumuelewa wanafanya hivyo kwa maslahi yao, hata wasaidizi wake hawamwelewi kabisa zaid ya kuigiza kuwa wanaelewa. This is completely a national disaster, though watu hawapo tayari kusema ila time will tell...
Kauli zake nyingi si nzuri,anamwambia PM angeanza kupiga shangazi zake