Kwa hili, Mh Rais na M/kiti wa chama ulighafirika!

Atakuja kuomba kura ilitumpe inabidi atuombe kwa atutukane ndo tumpe Lakin akitumia lugha ya kustaarabu tutajua maskini akipata
 
Kuna mtu yeyote anacompile statements/speeches mbaya mbaya zinzaotoka kinywani mwa jiwe? This is very important kwa baadae ili kuja kumnyoosha na yeye. Tutaweza kumfanya kama walivyowahi kumfanya Kamuzu Banda au Augusto Pinochet dikteta
 
Kauli yako ya kuwafukuza wabunge au hutishiki na kuyakosa majimbo zaidi ya 17 ya ubunge,ulighafirika!

Kauli ile haikuwa sahihi hata kidogo!Hata kama jambo lile ulikuwa umelipanga chonde ungelifanya kimya kimya.

Kauli ile na ya suala la Mkiti wa chama jirani yao na pundamilia hayakuwa sahihi kufanywa kwa namna ile!

Pamoja na mazuri yote baba M/kiti lakini kuna mambo baadhi unaghafirika. Hujachelewa na mda sahihi ni sasa kuyarekebisha!
Hata wewe kushindwa kuvumilia hiyo Singe umeghafirika.
Elewa ujumbe wake fanyia kazi.
 
Mlikuwa mmezoea unafiki tu. Awamu ya nne ulikuwa unachekewa lakini moyoni hutakiwi. Mzee MAGUFULI hana hizo. Sio mnafiki na anajulikana tangu enzi za uongozi wake hata kabla ya siasa. Hafichi wala haogopi. Kwa hiyo mtazoea tu. Kwa taarifa yenu watu wa UFIPA watanzania zaidi ya 90% walishamwelewa. Mfano kwenye ziara yake mkoani Simiyu ilikuwa kipindi cha njaa na alisema wakulima waliolima kwa bidii wapandishe bei ya mahindi. Baadhi ya watu mkutanoni wakaanza kusema na kulaumu huyu ni Rais gani. Kilichotokea msimu wa kilimo uliofuata ni balaa. Watu wamevuna mpunga na pamba na viazi haijapata kutokea tangu tupate uhuru.
Hizo ni ishara kwamba watanzania wanamwelewa sana tu
Kuku njooni kuna chakula chenu huku.
 
rais wetu ana udhaifu,

ni km binadamu wengine,

kuwaonyesha watu uko in control,

ndio una snap,

mbele ya watu,

kuonyesha jinsi mambo yako on raiti traki,

ukweli ni kuwa Magufuli yuko sensitive,

ndio maana yanayosemwa mtandaoni yanamuumiza,

frustrations alizonazo akipata nafasi ndio anazitoa kimipasho...lol
Well said...!!

Hata hizi zinduzi na teuzi za kila wiki ni namna tu ya kupata fursa ya kuyatoa ya moyoni!!
 
..anataka wabunge wawe WANAFIKI na WAOGA.


..unafiki, uwoga, na kutokusema ukweli kwa wakati ndiyo chanzo cha baadhi ya wabunge wa KANDA YA ZIWA kukaa kimya huku madini toka majimboni kwao yakichotwa na makampuni ya kigeni kupitia MIKATABA YA KIFISADI.

..wabunge hao wamekuja kupata UJASIRI wakati taifa limeshapata hasara na baadhi ya migodi imeanza kufungwa baada ya madini kuisha.

..Jiwe ashindane kwa HOJA na wabunge wa kusini wanaompinga mambo ya kutishana-tishana ni tabia za kizamani.

Cc chige
Mkuu JokaKuu, tatizo la wafuasi wa JPM/Serikali/CCM, wanashindwa kutofautisha kati ya kuwa wazi na kuropoka! Hata ndugu yangu Ruttashobolwa hapo juu inaonesha, inawezekana kwa makusudi kabisa, ameshindwa kutofautisha kati ya kuwa wazi na uropokaji!!!

JPM sio msema ukweli kama wanavyotaka kutuaminisha bali ni mropokaji!!

Back in the days, aliwahi kutamka hadharani kwamba kule Lindi kuna watu wametafuna Bilioni 20! Angekuwa msema ukweli, angetaja hao waliotafuna Bilioni 20 lakini hadi leo hajafanya hivyo!!

Kila wakati ni kazi ya kulalamika kwamba hii nchi watu wameitafuna sana!!

Angekuwa msema ukweli na muwazi, angewataja hao walioitafuna nchi kwa sababu anawafahamu!!!!

Kila wakati amekuwa akiuntangazia umma kwamba watu walikuwa wanaishi kwa kutegemea madili!!

JPM angekuwa msema ukweli na muwazi basi angewataja hao waliokuwa wanategemea madili kwa sababu anawafahamu!!!!

Kinyume chake, JPM ni mropokaji! Uropokaji ni kuongea mbele za watu kila kinachopita kichwani mwako bila kufikiria!!! Hiyo ni sifa ya hovyo hovyo inayoambatana na kukosa busara!

Hiyo ndiyo sifa pendwa ya wafuasi wa JPM na serikali yake! Sifa ya hovyo hovyo inayoambatana na kukosa busara!!

Tukirudi hili la akina Nape!!! Hapa anaonesha wazi kwamba hataki wabunge wa chama chake, sio tu wasiwe na mawazo huru bali pia wasiwasemehe wananchi!!! Kila nikiwaza na kuwazua, bado nashindwa kuona kosa la akina Nape!

Mkuu Ruttashobolwa, nakubaliana na wewe kwamba, kwa siasa za Kiafrika zilizokosa uhuru wa maoni, ukitofautiana na chama hadharani, hiyo ni crime!! Crime ambayo hata CHADEMA, ndo hawawezi kabisa kuivumilia, tena aheri hata ya hao CCM!!! But tell me, ina maana Wabunge wa CCM wametofautiana na chama kwa sababu ya kupigania maslahi ya wakulima wa korosho; au?!

Kama ndiyo, CCM na serikali mna agenda gani ya siri kuhusu maslahi ya wakulima wa korosho ikiwa hamtaki wawakilishi wawapiganie?! Na kama hamtaki wabunge wawasemehe, mnataka wasemewe na nani hasa?!
 
Mlikuwa mmezoea unafiki tu. Awamu ya nne ulikuwa unachekewa lakini moyoni hutakiwi. Mzee MAGUFULI hana hizo. Sio mnafiki na anajulikana tangu enzi za uongozi wake hata kabla ya siasa. Hafichi wala haogopi. Kwa hiyo mtazoea tu. Kwa taarifa yenu watu wa UFIPA watanzania zaidi ya 90% walishamwelewa. Mfano kwenye ziara yake mkoani Simiyu ilikuwa kipindi cha njaa na alisema wakulima waliolima kwa bidii wapandishe bei ya mahindi. Baadhi ya watu mkutanoni wakaanza kusema na kulaumu huyu ni Rais gani. Kilichotokea msimu wa kilimo uliofuata ni balaa. Watu wamevuna mpunga na pamba na viazi haijapata kutokea tangu tupate uhuru.
Hizo ni ishara kwamba watanzania wanamwelewa sana tu

Wewe ni miongoni mwa watu kumi wanaomwelewa, hao unaosema wasingedhihirisha kwenye utafiti wa TWAWEZA! Mioyo inasema kweli kuliko kauli mamangu!
 
Wewe na mimi tukiona anakosea na yeye anaona yupo sahihi ni ngumu sana kuuwahi huo muda unaosema kuwa bado hajachelewa. Muhimu ni kusubiri astuke mwenyewe maana kama ujuavyo kelele za chura.....
 
Wewe na mimi tukiona anakosea na yeye anaona yupo sahihi ni ngumu sana kuuwahi huo muda unaosema kuwa bado hajachelewa. Muhimu ni kusubiri astuke mwenyewe maana kama ujuavyo kelele za chura.....
 
Magufuli is a country bumpkin
Dump him in dustbin, slash him
Make him a has been, flash him
Nasty, grumpy, belligerent, stanky
God complex gone funky
Worse than a honky junkie
Kingdom a go fall,
What a Humpty Dumpty
Monkey with man key
Unreasoning donkey
Fumble a dunkie
Gallipoli a Dunkirk
What a mess of a place
Disgrace of a race
Still fools embrace, at unprecedented rate
The un-presidented braces
Rule defying cases
Empty vases that verses can't fill
Like campaign promises turning poison that do kill
 
Watanzania wanaomwelewa huyu mtu hawafiki 10 out of 50 mil!! Hao wanaojifanya kumuelewa wanafanya hivyo kwa maslahi yao, hata wasaidizi wake hawamwelewi kabisa zaid ya kuigiza kuwa wanaelewa. This is completely a national disaster, though watu hawapo tayari kusema ila time will tell...

True
 
rais wetu ana udhaifu,

ni km binadamu wengine,

kuwaonyesha watu uko in control,

ndio una snap,

mbele ya watu,

kuonyesha jinsi mambo yako on raiti traki,

ukweli ni kuwa Magufuli yuko sensitive,

ndio maana yanayosemwa mtandaoni yanamuumiza,

frustrations alizonazo akipata nafasi ndio anazitoa kimipasho...lol
Lakini JPM(JUMA PETER MATHAKO) akumbuke anaongoza tasisi kubwa sana haifai kuleta stress za mkewe au mahawara ikulu
 
Back
Top Bottom