Siku chache baada ya jamii ya waislamu duniani kote kuandamana kupinga filamu inayomkashifu Mtume, VIDOLE GUMBA navyo vimetishia kuandamana ili vipunguziwe idadi ya meseji vinazoandika kwenye simu kila siku kwani idadi ya meseji za kuchati imekuwa ikiongezeka siku hadi siku kutokana na mitandao mbalimbali ya simu za mkononi kuwa na promosheni ya meseji za bure na hivyo kufanya vidole gumba kukosa muda wa kupumzika