Stabilaiza
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 1,843
- 1,143
- Thread starter
- #21
Amani Karume alishawahi kusema hawezi kumuwajibisha Waziri wake kwa kumuachisha kazi kwani hatuna utamaduni wa kuwajibika. That was a candid moment.
Na hata sasa hatajiuzulu mtu yeyote, kwa sababu hiyo hiyo.
Nyerere kama kafanya summary execution kwa sababu enzi zake hakukuwa na rule of law, vyama vingi, transparency, media coverage, internet etc, Kikwete naye aige hivyo hivyo?
Kwa sababu Nyerere alifanya tu?
Hapo sasa, lakini ndivyo alivyojitetea Kikwete wakati wa hotuba kwa Bunge