Kwa hili ITV chukueni hatua

Kwa hili ITV chukueni hatua

Wapuuzi wachache hawawezi kuiondolea heshima ITV na Mengi.
Waungwana tutaendelea kuiangalia na kumheshimu Mengi.

Kweli kabisa ndugu mtanzania mpenda utu wa kila mtu
 
mafuriko yameelekezwa baharini!
Upinzani umefanya makosa mengi ya msingi na wengi wameshaandika haya - kuna kupokea makapi, kuna kuweka mayai yote kapu moja (kuachiana), kuna kushindwa kutangaza sera hata siku ya ufunguzi wa kampeni, kuna kudhulumiana ndani ya ushirika, kuna kutowafikia wananchi wengi vijijini kwa kupenda starehe na misifa ya helikopta, kuna kutokujibu tuhuma nzito dhidi ya afya ya mgombea wao, kuna kutojibu tuhuma kuhusu chama kikuu ndani ya Ukawa kununuliwa, kuna kudharau mpinzani wao mkuu kana kwamba kazeeka au kachoka sana, kuna kudharau umuhimu wa watumbuizaji katika jamii ya kiafrika na kuwaita fiesta, n.k. Makosa ni mengi mno. Ila hii ilitokana na nini? UNYUMBU!

Nyumbu inasadikika ndiye mnyama mwenye IQ (ufahamu) mdogo kuliko wanyama wengi mbugani. Ni mnyama ambaye mwindaji hasumbui akili yake sana japo nyumbu ana maguvu na mapembe makali! Kichwani hamna kitu! Nyumbu hujihami kwa kuotea! Huota kuwa simba au mwindaji mwingine yeyote akija atamla jirani yake na si yeye! Kwa hiyo aendapo nyumbu mwenzie na yeye huenda! Nyumbu mwenzie akipiga kona na yeye hupiga kona! Nyumbu mwenzie akisimama na yeye husimama! Nyumbu mwenzie akiruka na yeyehakawii!

Ndio maana katika lile ajabu mojawapo la dunia litokealo mtoMara kule Serengeti mamba hujilia nyumbu hadi wanakinai! Akitokea nyumbu mmoja akaruka mtoni au akamsukuma mwenzie basi nyumbu wote watarukia mtoni au watasukumana hadi wadumbukie mtoni.

Tabia hii ya nyumbu tumeiona katika kampeni za Ukawa! Wenyewe kwa vinywa vyao tumewasikia wakijinadi ALIPO NA SISI TUPO! Yaani hata akitumbukia mtoni na wao watajiloweka humo! Hata pale ilipokuwa dhahiri kipenzi chao ni mgonjwa taabani tumewasikia wakisema TUTAMPA KURA HUYOHUYO HATA KWA MACHELA TUTAMPELEKA IKULU! Ni unyumbu ulikuwa upo kazini! Ndioo! Nyumbu hawanamuda wa kufikiri hata kidogo! Husukumana na huigana matendo!

Ni katika unyumbu huu watu walishindwa kufanya tafakuri yakina! Hata pale nyumbu mkuu aliposema atawaachia watu waliohukumiwa na mahakama ya juu kabisa nchini kwa makosa mazito kabisa bado nyumbu wadogo walirukaruka kushangilia!Si nyumbu? Hata pale wawindaji walipotuhumu kuwa nyumbu mkubwa nimgonjwa badala ya kuweka mkakati wa kuwaaminisha wapigakura kuwa nyumbu mkuu yuko ngangari wao ndio kwanza wanasema TUNATAKA HUYO HUYO MGONJWA!

Tabia hii ya unyumbu imesababisha anguko kuu nililolitabiri liwe kweli! Hili ni anguko kuu kwa kuwa hakika mwaka 2020 watu watasita kugeuka nyumbu! Bahati mbaya sana barani Afrika ili upinzani uweze kushika dola unyumbu unahitajika.

Kwa kawaida huwa anatokea almaarufu (celebrity) ambaye anatengeneza manyumbu wengi! Huyu Almaarufu akijua kucheza politics of wildbeasts anawashangaza watawala. Akishindwa huwa anatoweka kama alivyochomoza! Ni kwa kuwa kwa bahati mbaya zaidi unyumbu haujirudii! Ukipita umepita.
wewe ni nani hadi unipangie mtu wa kumpenda na kumpa kura yangu???bila shaka utakuwa dictator...ni nani alie mzima aanze kumnyoshea mwenzie mkono huku vidole vitatu vikimrudia na kimoja mungu akishuuhudia???huo mfumo wenu wa kujiona miungu watu ndio umetuchosha ndio maana tulidiriki kusema hata lingewekwa jiwe na ccm tungechagua jiwe...tumepiga kura tumemchagua tumpendae tena kwa kishindo lakini mengine siwezi kuelezea
 
Sasa king'amuzi gani umekitupa ktk dust bin? Nijuavyo mimi ITV haina king'amuzi, ipo kote kote tu, yaani ulipo ipo! Utajikuta umetupa ving'amuzi vyote!

Mkuu huyo inawezekana hata tv hana
 
Wapuuzi wachache hawawezi kuiondolea heshima ITV na Mengi.
Waungwana tutaendelea kuiangalia na kumheshimu Mengi.

afu mbaya zaidi ITV ndicho kituo kilichoshika nafasi ya kwanza katka kuonyesha habari za uchaguzi na pia ktk kipind cha aug.hadi oct.imeongoza kwa kuangaliwa sana hasa taarifa ya habari sasa sijui watakunywa sumu hawa wasioipenda??
 
Tulia dozi iwaingie, Lowasa wenu anaenda kuchunga ng'ombe vipi mtamsindikiza?

kwani wewe kiswahili ujui au kujichetua ushaambiwa ULIPO TUPO sasa unahoji nini!!!ni rais wetu malofa na wapumbavu nyie werevu nendeni mkamwapishe rahisi wenu
 
Kitendo cha waandishi wa ITV kuzomewa pale diamond siku ya kuwakabidhi vyeti Magufuri na samia kutoka tume ya taifa ya uchaguzi na kitendo cha kuzomewa mwenyekiti mtendaji wa IPP Dr Mengi ni kitendo cha kuwavunjia heshima na si cha kiungwana kwani kinaondoa heshima kwa wahusika nawashauri kuchukua hatua ya kuwasusia hao.


Wala usiumize sana kichwa na ITV wanatakiwa kuendelea na Kazi waliyoianza!
Kama mtu mzima anayeishi kwa Jasho la walipa Kodi na mwenye hadhi ya Uraisi wa Nchi anaweza kutoa Kauli kama hii na asiombe hata radhi ya kinafiki unategemea nini?

Yaani utegemee miujiza ?
Baada ya zomea zomea umesikia kiongozi yoyote wa Lumumba aliye laani tukio hilo?



 

Wala usiumize sana kichwa na ITV wanatakiwa kuendelea na Kazi waliyoianza!
Kama mtu mzima anayeishi kwa Jasho la walipa Kodi na mwenye hadhi ya Uraisi wa Nchi anaweza kutoa Kauli kama hii na asiombe hata radhi ya kinafiki unategemea nini?

Yaani utegemee miujiza ?
Baada ya zomea zomea umesikia kiongozi yoyote wa Lumumba aliye laani tukio hilo?

Kweli kabisa mkuu Ccm ni chaka la majahili
 
kwani wewe kiswahili ujui au kujichetua ushaambiwa ULIPO TUPO sasa unahoji nini!!!ni rais wetu malofa na wapumbavu nyie werevu nendeni mkamwapishe rahisi wenu

Siwezi kupoteza muda wangu kwenda kuangalia ujinga wacha waende kina lyatonga
 
afu mbaya zaidi ITV ndicho kituo kilichoshika nafasi ya kwanza katka kuonyesha habari za uchaguzi na pia ktk kipind cha aug.hadi oct.imeongoza kwa kuangaliwa sana hasa taarifa ya habari sasa sijui watakunywa sumu hawa wasioipenda??

Wacha wanywe sumu na litbc lao
 
wewe ni nani hadi unipangie mtu wa kumpenda na kumpa kura yangu???bila shaka utakuwa dictator...ni nani alie mzima aanze kumnyoshea mwenzie mkono huku vidole vitatu vikimrudia na kimoja mungu akishuuhudia???huo mfumo wenu wa kujiona miungu watu ndio umetuchosha ndio maana tulidiriki kusema hata lingewekwa jiwe na ccm tungechagua jiwe...tumepiga kura tumemchagua tumpendae tena kwa kishindo lakini mengine siwezi kuelezea

Wamechakachua kura zetu
 
Back
Top Bottom