Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,860
- 50,645
Kama IGP unataka tuamini kwamba Polisi si sehemu ya Chama Cha Mapinduzi, kwa Jambo hili la Vijana wa CCM kung'oa Bendera za CHADEMA mbele ya Askari Polisi mjini Mwanza, ni lazima walifanya kitendo hicho ambao wanaonekana kwenye picha wachukuliwe hatua za kisheria na Askari aliyekuwa kwenye eneo la Tukio naye atoe maelezo ni kwa nini alikuwa anaangalia bila ya kuchukua hatua wakati Jinai inatendeka mbele yake!!
1445680675590.jpg
1445680675590.jpg