Acha kukariri, sio kweli kuwa mataifa yote yaliyovurugwa chanzo ni haki, vurugu zingine chanzo ni vita vya kuwania madaraka baina ya Miamba, wewe unajua chanzo cha vurugu Sudan Kusini, unajua chanzo cha kupinduliwa Siad Bare wa Somalia 1991? Na mbaya zaid zikitokea fujo unaumiza jirani yako nnae share nae shida, we unadhani pakitokea wizi wa kura Bumbuli wataenda kuchoma Nyumba ya January pale Masaki? Tunasisitiza amani kwa kuwa tunajua zinaathiri zaid mlalahoi mwenzako, kina Kagame ndio walihusika na Mauaji ya Kimbari umeona hata kovu la mauaji si yeye na familia yake wana enjoy matokeo ya vita? Amani haina substitute asikudanganye mtu