Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,030
- Thread starter
- #41
Ilibidi niende chuo mwaka huu but ndo hivo tena,naishi na wazazi.oooh only 20? are u a student? unaishi na nai?
Ilibidi niende chuo mwaka huu but ndo hivo tena,naishi na wazazi.oooh only 20? are u a student? unaishi na nai?
chuo unaenda tu hata kama una mimba.mimba sio sumu au ugonjwa waeleze wazazi waombe radhi no way out mpenziIlibidi niende chuo mwaka huu but ndo hivo tena,naishi na wazazi.
Okay nimekuelewa thanks kwa ushauri,japo hata sijui ntaanzaje kuwaelezachuo unaenda tu hata kama una mimba.mimba sio sumu au ugonjwa waeleze wazazi waombe radhi no way out mpenzi
hapo ni maji shingoni hakuna ujanja tena.mimba ina miezi mingapi?Okay nimekuelewa thanks kwa ushauri,japo hata sijui ntaanzaje kuwaeleza
Miezi mitatu kasorohapo ni maji shingoni hakuna ujanja tena.mimba ina miezi mingapi?
Nmekusoma mkuu,hapo umenena vyemaMwanamke uliyezaa naye ukimuacha hata km ikipita miaka 3 km hajaolewa kurudiana ni rahic sana na hata km akiwa ameolewa kula mzigo ni rahic sana.
Km unataka kuoa oa mwanamke ambaye hajawai kuzaa. Au mume wake awe amekufa vinginevyo utaishi kwa presha sana.
Ila kifupi single mothers wanaojitambua ni wachache sana kati ya 10 wawili ndio wanaojitambua
Atakuwa Hero wa nini?Pole sana dear,usijali mungu analea jus keep on prayer one day you will be a hero.
haki ya MUNGUMkuu sema haki ya mungu!
haki ya MUNGUMkuu sema haki ya mungu!
ahsanteMatatizo mengine hata shetani hausiki.. Inakuaje kufanya sexy pasipo kutumia zana wakati hata kuhesabu cku zako huwezi!
Pole mama kijacho..🙁
Wengi hawajajua hiyo formation ya kututegea offside trick (mimba )mara nyingi inabuma.Sasa hiyo ya kwanza bado na ya pili, tatu na mtondogoo hapa ndo nashangaaga wanawake upo kwenye siku mbaya lakini bado unaachia kitobo hamjuagi kuna condom
but hiyo ni dawa yenu mimba tuuu basi hakuna dawa nyingine
Sio wote tunategaWengi hawajajua hiyo formation ya kututegea offside trick (mimba )mara nyingi inabuma.
Ndio maana nimesema wengi wao najua sio wote na nafsi yako inajua kilichotokea maybe ugeni wa mambo hayo au game ya ghafla yote yapo mdogo wangu.Sio wote tunatega
Kwanini unasema hivo?Humu ndani tushakuwa wote Watoto
Ok ahsanteeNdio maana nimesema wengi wao najua sio wote na nafsi yako inajua kilichotokea maybe ugeni wa mambo hayo au game ya ghafla yote yapo mdogo wangu.
Almuhimu umesema umejifunza lea mimba na usirubunike kuitoa ni changamoto za maisha nalo litapita pole sana.
Naomba nikuoneKwanini unasema hivo?