Kwa hili hakika nimejifunza

Kwa hili hakika nimejifunza

Hakunambia kama ana mke mie alichonambia mwanzon alidai kwamba kuna msichana yuko nae ila yupo mkoa mwingine but baada ya me kua mjamzito ndo akadai kwamba huyo msichana walishatambulishana na kwao na sometime anadai ni mkewe.

hukuwai kupajua nyumbani kweke hapo kabla au unaogopa timbwili la mke mwenzio
 
Teh,nyie huwa hamkumbk.nliwah date na single mother mmoja hv,ambaye tuliaminiana saana.alinisimulia kuwa,alipewa ujauzito akiwa kidato cha nne..baadae jamaa akaukataa ujauzito na akamshinikiza autoe.lakini binti aliamua kulea.mtoto saiv yuko darasa la tatu,,jamaa ndo kamrudia manzi na kuomba wamlee mwanaye.mm nkapigwa chini kwa sababu ya jamaa.iliniuma saana# nkamtakia kila lakher.
Nilichojifunza ni kwamba nyie viumbe hamna msimamo na mnasahau mapema saana mliyotendewa
Mwanamke uliyezaa naye ukimuacha hata km ikipita miaka 3 km hajaolewa kurudiana ni rahic sana na hata km akiwa ameolewa kula mzigo ni rahic sana.
Km unataka kuoa oa mwanamke ambaye hajawai kuzaa. Au mume wake awe amekufa vinginevyo utaishi kwa presha sana.
Ila kifupi single mothers wanaojitambua ni wachache sana kati ya 10 wawili ndio wanaojitambua
 
pole sana. Hili nalo litapita.
Ila nakuomba utulie. Lea mtoto wako na usidanganyike kujingiiza kweny mapenz lbd upate mume atakuyekuoa. Wanaume ni watu wazuri wakiwa na hamu ya kusex, atakuja kwa ngoz ya kondoo kumbe ni chui aliyevaa ngoz ya kondoo huku ww unaamin ni kondoo. Atakubembeleza sana tena anaweza mpaka kulia ili apate papuchi tu. Akishapata kiburi kinaanza tena akikupa na mimba anaweza kukimbia.
Usidanganyike kaa hivyo hivyo asipopatikana bora uendelee kuwa hivyo hivyo sbb unajiongezea majukumu kumbuka hata huyu mtoto majukumu yote ni ya kwako sidhan km baba hatahusika kweny malezi.
Nyie mnaweza kukaa muda mrefu sana tena sana bila kusex. Nasema hivyo sbb ukijichanganya unaweza kujikuta umefikisha watoto 3 kila mmoja na baba yake ambacho sio kitu kizuri ktk jamii. Tena kwa hali yako ilivyo weng watakuja kwa gia ya kukuoa ukijichanganya ukawapa papuchi unaweza usimuone mtu.
Pole ndio maisha yenyew haya
Ok,nimekuelewa asante kwa ushaur
 
Kwake napajua na ndipo tulipokua tunakutana daily hata guest hatujawahi ilikuwa ni kwake tu.

mwambie mke mwenzio usimuogope ili ajue kua hayupo peke yake lakini huyo bwana we achana naye maana itafika time mimba itakusumbua hitaitaji gharama utaanza nyodo za kubagua chakula sijui hupandi tena bajaji wataka tax kwa hiyo mwambie mke mwenzio ajue sio kwa hilo tu kuna mambo megine negative yanaweza kukukuta yakalazimu


kwa mfano japo sitaki litoke mimba inaweza kua cause ya kifo chako anatakiwa kuhusika so nenda kaweke mambo sawa kwanza

then

feedback
 
mwambie mke mwenzio usimuogope ili ajue kua hayupo peke yake lakini huyo bwana we achana naye maana itafika time mimba itakusumbua hitaitaji gharama utaanza nyodo za kubagua chakula sijui hupandi tena bajaji wataka tax kwa hiyo mwambie mke mwenzio ajue sio kwa hilo tu kuna mambo megine negative yanaweza kukukuta yakalazimu


kwa mfano japo sitaki litoke mimba inaweza kua cause ya kifo chako anatakiwa kuhusika so nenda kaweke mambo sawa kwanza

then

feedback
Ni kweli mkuu mambo mengi yanaweza kujitokeza but mungu mpangaji wa yote ndo ajuae ila mimi kumfata kwake siwezi asije hata kunidhuru bure maana ni mengi kaongea na yeye keshasema hausiki lolote na hii mimba keshajitoa pia hata huyo mwanamke sijui ni kipindi gani anachokuja maana yupo mkoa mwingine kumfatafata itaonekana na mforce wakati keshaniambia kilichopo moyon mwake.
 
Hakunambia kama ana mke mie alichonambia mwanzon alidai kwamba kuna msichana yuko nae ila yupo mkoa mwingine but baada ya me kua mjamzito ndo akadai kwamba huyo msichana walishatambulishana na kwao na sometime anadai ni mkewe.
Kwanini ujibanebane kwa mwanaume mwenye mwanamke mwingine na amekwambia ila upo tu ndio malipo ulostahili dada hayo watu tupo tu wanawake mnawagombania wanaume wenye wanawake wengi
 
Ajifunzae kwa vitendo huelewa zaidi kuliko nadharia, wajulishe na wenzako mimba haiji kama mwizi ila ni wewe tu na hamu zako.
 
Hellow jf,baada ya yule man alonipa ujauzito kunilazimisha nitoe na mie kukataa hatimaye kanitext eti yeye alishanambia kuwa ana mke ambaye ndo huyo msichana alonambia kua yuko nae kwa hiyo kuhusu hii mimba ntajua mwenyewe yeye hausiki na lolote kama mtoto atakuja kumtafuta daah kiukweli imeniuma sana but mejifunza kutokana na makosaa.
Pole sana dada... achana nae huyo famba we lea mimba yako na Mungu akupe nguvu. Asije akakupa stress katika kipindi kigumu hicho. We mpotezee, fikiria kama hayupo na lea mimba na mtoto wako. Nnachojua watu ka hao wakikuona uko independent watarudi tu kukubali majukumu yao kama baba ata kama sio leo. Kama hauna kazi au shughuli tafuta ili ujiingizie kipato. Wanakera kweli watu wanaofanya tendo la uumbaji afu uumbaji wenyewe ukitokea wanakimbia.
Maisha yaendelee...
 
Pole sana dada... achana nae huyo famba we lea mimba yako na Mungu akupe nguvu. Asije akakupa stress katika kipindi kigumu hicho. We mpotezee, fikiria kama hayupo na lea mimba na mtoto wako. Nnachojua watu ka hao wakikuona uko independent watarudi tu kukubali majukumu yao kama baba ata kama sio leo. Kama hauna kazi au shughuli tafuta ili ujiingizie kipato. Wanakera kweli watu wanaofanya tendo la uumbaji afu uumbaji wenyewe ukitokea wanakimbia.
Maisha yaendelee...
Ahsante mkuu,nashukuru kwa ushauri.
 
Ni kweli mkuu mambo mengi yanaweza kujitokeza but mungu mpangaji wa yote ndo ajuae ila mimi kumfata kwake siwezi asije hata kunidhuru bure maana ni mengi kaongea na yeye keshasema hausiki lolote na hii mimba keshajitoa pia hata huyo mwanamke sijui ni kipindi gani anachokuja maana yupo mkoa mwingine kumfatafata itaonekana na mforce wakati keshaniambia kilichopo moyon mwake.
ukipata muda ni pm tujue tunasaidia vipi maana mawazo ya public sina tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom