Kwa hili hakika nimejifunza

Kwa hili hakika nimejifunza

Illuminata Rodgers

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
2,845
Reaction score
2,030
Hellow jf,baada ya yule man alonipa ujauzito kunilazimisha nitoe na mie kukataa hatimaye kanitext eti yeye alishanambia kuwa ana mke ambaye ndo huyo msichana alonambia kua yuko nae kwa hiyo kuhusu hii mimba ntajua mwenyewe yeye hausiki na lolote kama mtoto atakuja kumtafuta daah kiukweli imeniuma sana but mejifunza kutokana na makosaa.
 
Hellow jf,baada ya yule man alonipa ujauzito kunilazimisha nitoe na mie kukataa hatimaye kanitext eti yeye alishanambia kuwa ana mke ambaye ndo huyo msichana alonambia kua yuko nae kwa hiyo kuhusu hii mimba ntajua mwenyewe yeye hausiki na lolote kama mtoto atakuja kumtafuta daah kiukweli imeniuma sana but mejifunza kutokana na makosaa.
Dada usihofu mm nitakusaidia kulea mimba mpk unajifungua am serious kdogo changu tutagawana ilimradi ushinde njaa na mtoto akue.nitafute kma hutajal sina nia ila nimeguswa tu ma na tatizo lako.novavilla8@gmail.com
 
Dada usihofu mm nitakusaidia kulea mimba mpk unajifungua am serious kdogo changu tutagawana ilimradi ushinde njaa na mtoto akue.nitafute kma hutajal sina nia ila nimeguswa tu ma na tatizo lako.novavilla8@gmail.com
Sema tu unataka kumfanya mke hapo baadae. Naona thread yako haikupata response.
Natafuta gal

Dada kuwa Makini sana na watu kama hawa.
Anaweza kukusaidia kweli lakini Matapeli na wenye nia mbaya wamejaa pia.
 
Sasa hiyo ya kwanza bado na ya pili, tatu na mtondogoo hapa ndo nashangaaga wanawake upo kwenye siku mbaya lakini bado unaachia kitobo hamjuagi kuna condom
but hiyo ni dawa yenu mimba tuuu basi hakuna dawa nyingine
 
Sema tu unataka kumfanya mke hapo baadae. Naona thread yako haikupata response.
Natafuta gal

Dada kuwa Makini sana na watu kama hawa.
Anaweza kukusaidia kweli lakini Matapeli na wenye nia mbaya wamejaa pia.
Heee!! Ndo kaona ajipatie mwanamke bana
 
Sasa hiyo ya kwanza bado na ya pili, tatu na mtondogoo hapa ndo nashangaaga wanawake upo kwenye siku mbaya lakini bado unaachia kitobo hamjuagi kuna condom
but hiyo ni dawa yenu mimba tuuu basi hakuna dawa nyingine
sawa
 
Pole dada, jambo la msingi ni kujifunza kutokana na makosa!
Ila ni vema kujifunza kutokana na makosa ya wengine siyo yako. Makosa mengine hata muda wa kujifunza hasingepata. Bora kapewa mimba ingekuwa VVU sijui ili somo lingemsaidia nini.
 
Hellow jf,baada ya yule man alonipa ujauzito kunilazimisha nitoe na mie kukataa hatimaye kanitext eti yeye alishanambia kuwa ana mke ambaye ndo huyo msichana alonambia kua yuko nae kwa hiyo kuhusu hii mimba ntajua mwenyewe yeye hausiki na lolote kama mtoto atakuja kumtafuta daah kiukweli imeniuma sana but mejifunza kutokana na makosaa.
mkuu
ulikua hujui kama ana mke
 
Pole sana dear,usijali mungu analea jus keep on prayer one day you will be a hero.
 
mkuu
ulikua hujui kama ana mke
Hakunambia kama ana mke mie alichonambia mwanzon alidai kwamba kuna msichana yuko nae ila yupo mkoa mwingine but baada ya me kua mjamzito ndo akadai kwamba huyo msichana walishatambulishana na kwao na sometime anadai ni mkewe.
 
Teh,nyie huwa hamkumbk.nliwah date na single mother mmoja hv,ambaye tuliaminiana saana.alinisimulia kuwa,alipewa ujauzito akiwa kidato cha nne..baadae jamaa akaukataa ujauzito na akamshinikiza autoe.lakini binti aliamua kulea.mtoto saiv yuko darasa la tatu,,jamaa ndo kamrudia manzi na kuomba wamlee mwanaye.mm nkapigwa chini kwa sababu ya jamaa.iliniuma saana# nkamtakia kila lakher.
Nilichojifunza ni kwamba nyie viumbe hamna msimamo na mnasahau mapema saana mliyotendewa
 
Teh,nyie huwa hamkumbk.nliwah date na single mother mmoja hv,ambaye tuliaminiana saana.alinisimulia kuwa,alipewa ujauzito akiwa kidato cha nne..baadae jamaa akaukataa ujauzito na akamshinikiza autoe.lakini binti aliamua kulea.mtoto saiv yuko darasa la tatu,,jamaa ndo kamrudia manzi na kuomba wamlee mwanaye.mm nkapigwa chini kwa sababu ya jamaa.iliniuma saana# nkamtakia kila lakher.
Nilichojifunza ni kwamba nyie viumbe hamna msimamo na mnasahau mapema saana mliyotendewa
Mkuu sema haki ya mungu!
 
pole sana. Hili nalo litapita.
Ila nakuomba utulie. Lea mtoto wako na usidanganyike kujingiiza kweny mapenz lbd upate mume atakuyekuoa. Wanaume ni watu wazuri wakiwa na hamu ya kusex, atakuja kwa ngoz ya kondoo kumbe ni chui aliyevaa ngoz ya kondoo huku ww unaamin ni kondoo. Atakubembeleza sana tena anaweza mpaka kulia ili apate papuchi tu. Akishapata kiburi kinaanza tena akikupa na mimba anaweza kukimbia.
Usidanganyike kaa hivyo hivyo asipopatikana bora uendelee kuwa hivyo hivyo sbb unajiongezea majukumu kumbuka hata huyu mtoto majukumu yote ni ya kwako sidhan km baba hatahusika kweny malezi.
Nyie mnaweza kukaa muda mrefu sana tena sana bila kusex. Nasema hivyo sbb ukijichanganya unaweza kujikuta umefikisha watoto 3 kila mmoja na baba yake ambacho sio kitu kizuri ktk jamii. Tena kwa hali yako ilivyo weng watakuja kwa gia ya kukuoa ukijichanganya ukawapa papuchi unaweza usimuone mtu.
Pole ndio maisha yenyew haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom