Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,462
Jana Wananchi walishuhudia kituko cha ajabu sana, wananchi walishuhudia ni kwa namna gani Bunge limekuwa chombo cha kutetea chama kinachotawala na kujaribu kutumia "Kanuni" kuzima sauti za Wananchi. Kwa mara nyingine tena wananchi tumeshuhudia kwamba kumbe Spika anapozumngumzia Mamlaka yake ya kikanuni ya kuweza kutumia Polisi kumtoa Bungeni hamaanishi wabunge wote, kumbe kanuni anazozizungumzia madam spika zinalenga Chama fulani tena specifically Wabunge fulani. Hilo limethibitika jana "Bila Chenga"
Muda mfupi baada ya spika Makinda kupiga Mkwara kwamba mbunge yeyote ambaye angetumia lugha ya kuudhi au Matusi "Angeamuru Polisi Wamtoe Nje", Mbunge wa CCM Jimbo la Kigoma Mjini Bw Peter Serukamba aliwaambia wabunge kwamba "Wanafir.wa" ila alitumia kimombo na akasema "Come on .. Fuc.k u" (Mod hili si tusi maana hata bungeni linatumika na limeruhusiwa kikanuni". Baada ya Serukamba kutoa tusi hilo Naibu spika aliona kwamba linafaa kuingizwa katika Hansard za Bunge na kumuacha Mh. Serukamba aendelee bila hata ya kumbwambia aombe radhi wala kufuta akili yake.
Kichekekesho kilikuja pale "Yule Mbunge: ambaye kwaye lile angalizo la Madam Spika lilikuwa linamhusu alipoomba Mwongozo wa Spika. Naibu spika badala ya Kumruhusu yeye akaamuru polisi wamtoe nje kisa "Ana kiherehere na anapenda kuongea sana". Hii ni Lugha ya Kuudhi na isiyovumilika hata kidogo maana tumewatuma wabunge wabungeni ili "Wakaongee"
Sasa najiuliza
1. Ina maana naibu spika anafikiri Watanzania Hawakusikia Serukamba alipolitukana Bunge kwamba "Linafir.wa?
2. Watanzania hao ambao walitegemea Mh. Ndugai kuchukua Hatua Stahiki kwa Serukamba na Hakufanya Hivyo unafikiri Wataliheshimu Bunge?
3. Sasa kali ya Mwaka Watanzania Walewale wakashuhudia Ndugai akiamuru Polisi wamtoe Nje Mbunge kisa anaongea sana. Hivi Ndugai anaona Watanzania ni Mafala sana au. Kwamba Tusi alilotukana Serukamba lilikuwa sawa tu.
4. Kwa Mama Makinda huwa sikuelewi unaposema kwamba Watanzania Wanalalamika Bunge limekosa Heshima. Unafikiri Watanzania hawa hawaelewi sababu ya Bunge kuoksa heshima?
Kwa hili la jana la Tundu Lisu kukataa uonenvu nalipongeza sana na ndio silaha peke yake ya CDM. Mkikubali kupiga Magoti Mkakubali Mkakati wa CCM wa Kuwadunisha MMEKWISHA. Mnaweza kuonekana Wakorofi mbele ya Macho ya Watawala bali kwa Watanzania Wengi you are Heoroes (Ndio Maana hawataki tuone Bunge Laivu)
Muda mfupi baada ya spika Makinda kupiga Mkwara kwamba mbunge yeyote ambaye angetumia lugha ya kuudhi au Matusi "Angeamuru Polisi Wamtoe Nje", Mbunge wa CCM Jimbo la Kigoma Mjini Bw Peter Serukamba aliwaambia wabunge kwamba "Wanafir.wa" ila alitumia kimombo na akasema "Come on .. Fuc.k u" (Mod hili si tusi maana hata bungeni linatumika na limeruhusiwa kikanuni". Baada ya Serukamba kutoa tusi hilo Naibu spika aliona kwamba linafaa kuingizwa katika Hansard za Bunge na kumuacha Mh. Serukamba aendelee bila hata ya kumbwambia aombe radhi wala kufuta akili yake.
Kichekekesho kilikuja pale "Yule Mbunge: ambaye kwaye lile angalizo la Madam Spika lilikuwa linamhusu alipoomba Mwongozo wa Spika. Naibu spika badala ya Kumruhusu yeye akaamuru polisi wamtoe nje kisa "Ana kiherehere na anapenda kuongea sana". Hii ni Lugha ya Kuudhi na isiyovumilika hata kidogo maana tumewatuma wabunge wabungeni ili "Wakaongee"
Sasa najiuliza
1. Ina maana naibu spika anafikiri Watanzania Hawakusikia Serukamba alipolitukana Bunge kwamba "Linafir.wa?
2. Watanzania hao ambao walitegemea Mh. Ndugai kuchukua Hatua Stahiki kwa Serukamba na Hakufanya Hivyo unafikiri Wataliheshimu Bunge?
3. Sasa kali ya Mwaka Watanzania Walewale wakashuhudia Ndugai akiamuru Polisi wamtoe Nje Mbunge kisa anaongea sana. Hivi Ndugai anaona Watanzania ni Mafala sana au. Kwamba Tusi alilotukana Serukamba lilikuwa sawa tu.
4. Kwa Mama Makinda huwa sikuelewi unaposema kwamba Watanzania Wanalalamika Bunge limekosa Heshima. Unafikiri Watanzania hawa hawaelewi sababu ya Bunge kuoksa heshima?
Kwa hili la jana la Tundu Lisu kukataa uonenvu nalipongeza sana na ndio silaha peke yake ya CDM. Mkikubali kupiga Magoti Mkakubali Mkakati wa CCM wa Kuwadunisha MMEKWISHA. Mnaweza kuonekana Wakorofi mbele ya Macho ya Watawala bali kwa Watanzania Wengi you are Heoroes (Ndio Maana hawataki tuone Bunge Laivu)