SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Wana JF CCM kumiliki baadhi ya majengo na viwanja kama vya mpira ambavyo vilijengwa na wananchi kushirikiana na serikali iliyokuwa madarakani je ni halali?
MY TAKE;
Je ccm kusema ni vyake na kuwa na hati miliki je walitowa wapi pesa kipindi hicho mpaka kuwa na uwezo wa kumiliki ivyo vitu? Wazi wametuibia mali za wananchi kwa kujimilikisha wao.
Nawasilisha
MY TAKE;
Je ccm kusema ni vyake na kuwa na hati miliki je walitowa wapi pesa kipindi hicho mpaka kuwa na uwezo wa kumiliki ivyo vitu? Wazi wametuibia mali za wananchi kwa kujimilikisha wao.
Nawasilisha