Mkutano wa CCM uliofanyika mbeya umeonesha dhahiri kuwa sasa chama hiki cha magamba kimekosa muelekeo. Ninazo sababu za kusemahivyo,
i. Kitendo cha makada wa CCM kusimama jukwaani na kuanza kuwasuta makada wenzao ni kuonyesha dhahiri kuwa sasa hakuwa asubuhi ndani ya chama hicho
ii. Makada hao wa ccm hususani Samwel Sitta kukosoa mikataba mibovu iliyoingiwa na serikali anayoiunda ni kutaka kutuchezea kiini macho.
My take.
Sio sahihi kwa makada wa ccm kujisafisha jukwaani kwa kukosoa utendaji wa serikali yao. Hakuna namna hii kazi inapaswa kufanywa na upinzani hvyo ni dhahiri sasa ccm imebanwa na wanaweweseka.
i. Kitendo cha makada wa CCM kusimama jukwaani na kuanza kuwasuta makada wenzao ni kuonyesha dhahiri kuwa sasa hakuwa asubuhi ndani ya chama hicho
ii. Makada hao wa ccm hususani Samwel Sitta kukosoa mikataba mibovu iliyoingiwa na serikali anayoiunda ni kutaka kutuchezea kiini macho.
My take.
Sio sahihi kwa makada wa ccm kujisafisha jukwaani kwa kukosoa utendaji wa serikali yao. Hakuna namna hii kazi inapaswa kufanywa na upinzani hvyo ni dhahiri sasa ccm imebanwa na wanaweweseka.