Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,197
Very very ironic.Ukiwa mchafu ,utaacha kuoga ???.au kwakua wee Mdhambi ndo ujitenge mbali na Muumba wako??
Kama jibu ni hapana, basi hiyo haiondoi ukweli kua
NARUDIA TENA WANAWAKE WACHA MUNGU NDIO WANAWAKE WA KUOA.
nmewala sana wanawake yaan saaaana wa kila aina, waloolewa wasoolewa, warefu, wafupi,wembamba, wanene,, wasomi kwa wasokua wasomi, wenye vipato ,wategemezi, wake za watu n.k..
Yaan nmewala sanaaaaaa sanaaaaaaa
LAKN HAO WOTE NLOWALA, NI WALE NLOWAELEZEA KWENYE ULE UZI KAMA AINA YA WANAWAKE WASOFAA KUOLEWA.
Wewe umeolewa, nikutongoze, unipanulie mapaja, Unaakili??????. Unamwogopa Muumba wako????.
Muumba yupo one sided?
Only to be feared by females?
So you are actually saying the women you slept with are lesser human beings who should be cast aside since they do not meet the requirements for marriage?
They are the devil's agents and therefore you had a right to sleep with them because they are sinners and you, dear one, are among the chosen ones?
Damn.
Judgement Day is going to be very interesting.