MNYWABUJU
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 260
- 327
Habari wana jamvi , kama mada hapo juu mimi ni mtumiaji wa mitandao mingine, lakin juzi kati niliamua kusajili line ya airtel kwa matumizi ya airtel money, ni wiki ya pili niliweka fedha katika account yangu kwaajili ya kununua umeme na kifurushi cha mb cha sh 1000.
Lakini sikupata kifurushi ,na pia hela yangu ikakatwa ,bila kupata kifurushi, nimeshawasiliana na huduma kwa wateja, lakini wananipanga tu zaidi ya mara sita.
Kilichoniudhi saa hizi, nikiwapigia simu wanakata, nafikilia kuwapeleka Mahakamani mpaka wiki hii wasipo,nilejeshea salio langu au wanipe kifurushi.
Lakini sikupata kifurushi ,na pia hela yangu ikakatwa ,bila kupata kifurushi, nimeshawasiliana na huduma kwa wateja, lakini wananipanga tu zaidi ya mara sita.
Kilichoniudhi saa hizi, nikiwapigia simu wanakata, nafikilia kuwapeleka Mahakamani mpaka wiki hii wasipo,nilejeshea salio langu au wanipe kifurushi.