mbaya zaidi wamekosa ubunifu wa kubuni jinsi ya barabara kupita hapo mpaka wabomoe, na kinachokera na kuchukiza ni kutumia 700 million kubomolea jengo yani hasara juu ya hasara.
...shame on you MAGUFURI.
mbaya zaidi wamekosa ubunifu wa kubuni jinsi ya barabara kupita hapo mpaka wabomoe, na kinachokera na kuchukiza ni kutumia 700 million kubomolea jengo yani hasara juu ya hasara.
...shame on you MAGUFURI.
jamii forum kiboko, kumbe hadi tunamadereva wa mafuso humu, bila shaka atakuwa kamanda wa redbrigade humo kabeba zile bunduki zilizozungushiwa bendera ya chama chao
mbaya zaidi wamekosa ubunifu wa kubuni jinsi ya barabara kupita hapo mpaka wabomoe, na kinachokera na kuchukiza ni kutumia 700 million kubomolea jengo yani hasara juu ya hasara.
...shame on you MAGUFURI.
Ukiangalia mwisho wa hicho kivuko kwa ukweli kabisa kilikuwa mbali sana na JENGO la TANESCO issue hapo ni kutokuwa na BUSARA tu,chuki visasi vitatumaliza kama TAIFA,tunalipia maugomvi ya mijitu sijui ilifanyiana nini huko nyuma.