Kwa Heri jengo letu

la LOWASSA eeh hivi wakati linajengwa nani alikuwa waziri wa
'barabara' hahahaha
'
 
mbaya zaidi wamekosa ubunifu wa kubuni jinsi ya barabara kupita hapo mpaka wabomoe, na kinachokera na kuchukiza ni kutumia 700 million kubomolea jengo yani hasara juu ya hasara.
...shame on you MAGUFURI.
 
mbaya zaidi wamekosa ubunifu wa kubuni jinsi ya barabara kupita hapo mpaka wabomoe, na kinachokera na kuchukiza ni kutumia 700 million kubomolea jengo yani hasara juu ya hasara.
...shame on you MAGUFURI.
huo ubunifu unaohutaka ungekua ni bure? yaani sheria ivunjwe kisa kupisha ubunifu ,daa wanasiktsha sana hawa vijana
 
jamii forum kiboko, kumbe hadi tunamadereva wa mafuso humu, bila shaka atakuwa kamanda wa redbrigade humo kabeba zile bunduki zilizozungushiwa bendera ya chama chao
 
mbaya zaidi wamekosa ubunifu wa kubuni jinsi ya barabara kupita hapo mpaka wabomoe, na kinachokera na kuchukiza ni kutumia 700 million kubomolea jengo yani hasara juu ya hasara.
...shame on you MAGUFURI.

Ukiangalia mwisho wa hicho kivuko kwa ukweli kabisa kilikuwa mbali sana na JENGO la TANESCO issue hapo ni kutokuwa na BUSARA tu,chuki visasi vitatumaliza kama TAIFA,tunalipia maugomvi ya mijitu sijui ilifanyiana nini huko nyuma.
 
Yule waziri aliyesema jengo kabla ya December 31 2017 jengo liwe limemalizika kubomolewa yuko wapi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…