Kwa haya matukio yaliyotokea nchini, ukimya wa Rais unatisha

mtarimbo

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
1,529
3,919
Kuna matukio 3 ambayo yametokea hapa nchini nilitegemea mkuu wa. Nchi kama navyomjua angekua ametoa kajitamko au tamko ili wananchi tujue hatma yetu.

Kwanza ni zuio la Mwenyekiti wa usalama wa jiji ambalo ndio moyo wa nchi kuzuiwa kwenda kwenye nchi ambayo ni maswaiba wetu na serikali au mpambanaji yoyote anajua mchango wa hawa maswaiba kwenye maendeleo ya jamii yetu.

Pili ni mbunge mmoja kuandika barua Benki ya Dunia kuzuia mkopo ambao sijajua walizuia kwa kwa ushawishi wake au la ila kwenye vikao vya bunge ilifika pahala mbunge mwenzake anashauri mbunge huyo auwawe daaaaaah hatariii.

Tatu ni mwenyekiti mkubwa wa chama kikuu chenye wafuasi wengi na ushawishi mkubwa kutoa tamko kama serikali haitaridhia na kukaa na kufanya maridhiano ya kisiasa basi WASILAUMIWE KWA WATAKAYOAMUA KUFANYA😨😨😨

Ni yep hayo mim sijajua ila ukimya wa mkuuu unatisha kunaniniiii?
 
Rais wetu mpendwa ana mambo mengi ya kufanya kwa ajili ya kuleta maendeleo ya watanzania wanyonge! Hongera sana JPM Tanzania inapaa.
 
Kuna matukio 3 ambayo yametokea hapa nchini nilitegemea mkuu wa. Nchi kama navyomjua angekua ametoa kajitamko au tamko ili wananchi tujue hatma yetu.

Kwanza ni zuio la Mwenyekiti wa usalama wa jiji ambalo ndio moyo wa nchi kuzuiwa kwenda kwenye nchi ambayo ni maswaiba wetu na serikali au mpambanaji yoyote anajua mchango wa hawa maswaiba kwenye maendeleo ya jamii yetu.

Pili ni mbunge mmoja kuandika barua Benki ya Dunia kuzuia mkopo ambao sijajua walizuia kwa kwa ushawishi wake au la ila kwenye vikao vya bunge ilifika pahala mbunge mwenzake anashauri mbunge huyo auwawe daaaaaah hatariii.

Tatu ni mwenyekiti mkubwa wa chama kikuu chenye wafuasi wengi na ushawishi mkubwa kutoa tamko kama serikali haitaridhia na kukaa na kufanya maridhiano ya kisiasa basi WASILAUMIWE KWA WATAKAYOAMUA KUFANYA😨😨😨

Ni yep hayo mim sijajua ila ukimya wa mkuuu unatisha kunaniniiii?
Mh. RAIS HAWEZI KUJIBU UJINGA HUO.
Hao watajibiwa na mitandao ya jf.
 
Kuna matukio 3 ambayo yametokea hapa nchini nilitegemea mkuu wa. Nchi kama navyomjua angekua ametoa kajitamko au tamko ili wananchi tujue hatma yetu.

Kwanza ni zuio la Mwenyekiti wa usalama wa jiji ambalo ndio moyo wa nchi kuzuiwa kwenda kwenye nchi ambayo ni maswaiba wetu na serikali au mpambanaji yoyote anajua mchango wa hawa maswaiba kwenye maendeleo ya jamii yetu.

Pili ni mbunge mmoja kuandika barua Benki ya Dunia kuzuia mkopo ambao sijajua walizuia kwa kwa ushawishi wake au la ila kwenye vikao vya bunge ilifika pahala mbunge mwenzake anashauri mbunge huyo auwawe daaaaaah hatariii.

Tatu ni mwenyekiti mkubwa wa chama kikuu chenye wafuasi wengi na ushawishi mkubwa kutoa tamko kama serikali haitaridhia na kukaa na kufanya maridhiano ya kisiasa basi WASILAUMIWE KWA WATAKAYOAMUA KUFANYA😨😨😨

Ni yep hayo mim sijajua ila ukimya wa mkuuu unatisha kunaniniiii?
NI upepo, utapita!
 
Hili la US si wanasema 'Wahenga' walimuwahi na kumuomba awe na subra.

Hayo mengine labda tu hajayapatia fursa muafaka, huwa si muoga wa kusema hata kidogo.
 
Kuna matukio 3 ambayo yametokea hapa nchini nilitegemea mkuu wa. Nchi kama navyomjua angekua ametoa kajitamko au tamko ili wananchi tujue hatma yetu.

Kwanza ni zuio la Mwenyekiti wa usalama wa jiji ambalo ndio moyo wa nchi kuzuiwa kwenda kwenye nchi ambayo ni maswaiba wetu na serikali au mpambanaji yoyote anajua mchango wa hawa maswaiba kwenye maendeleo ya jamii yetu.

Pili ni mbunge mmoja kuandika barua Benki ya Dunia kuzuia mkopo ambao sijajua walizuia kwa kwa ushawishi wake au la ila kwenye vikao vya bunge ilifika pahala mbunge mwenzake anashauri mbunge huyo auwawe daaaaaah hatariii.

Tatu ni mwenyekiti mkubwa wa chama kikuu chenye wafuasi wengi na ushawishi mkubwa kutoa tamko kama serikali haitaridhia na kukaa na kufanya maridhiano ya kisiasa basi WASILAUMIWE KWA WATAKAYOAMUA KUFANYA😨😨😨

Ni yep hayo mim sijajua ila ukimya wa mkuuu unatisha kunaniniiii?
kuwa na subira atatamka
 
Kuna matukio 3 ambayo yametokea hapa nchini nilitegemea mkuu wa. Nchi kama navyomjua angekua ametoa kajitamko au tamko ili wananchi tujue hatma yetu.

Kwanza ni zuio la Mwenyekiti wa usalama wa jiji ambalo ndio moyo wa nchi kuzuiwa kwenda kwenye nchi ambayo ni maswaiba wetu na serikali au mpambanaji yoyote anajua mchango wa hawa maswaiba kwenye maendeleo ya jamii yetu.

Pili ni mbunge mmoja kuandika barua Benki ya Dunia kuzuia mkopo ambao sijajua walizuia kwa kwa ushawishi wake au la ila kwenye vikao vya bunge ilifika pahala mbunge mwenzake anashauri mbunge huyo auwawe daaaaaah hatariii.

Tatu ni mwenyekiti mkubwa wa chama kikuu chenye wafuasi wengi na ushawishi mkubwa kutoa tamko kama serikali haitaridhia na kukaa na kufanya maridhiano ya kisiasa basi WASILAUMIWE KWA WATAKAYOAMUA KUFANYA😨😨😨

Ni yep hayo mim sijajua ila ukimya wa mkuuu unatisha kunaniniiii?
Kuna mambo mengine usiyachokonoe, wacha yapite kimya kimya au yashughulikie kimya kimya! Nadhani ni utaratibu mzuri pia!
Kama alivyosema Mbowe, kuna watu ndani ya CDM wana mpango wa kukihujumu na kuondoka. Wanawajua. Ukiwafukuza watapiga kelele tumeonewa, tumeonewa, acha wataondoka wenyewe, just igonre them!!
 
Hili la US si wanasema 'Wahenga' walimuwahi na kumuomba awe na subra.

Hayo mengine labda tu hajayapitia fursa muafaka, huwa si muoga wa kusema hata kidogo.
Che Nkapa kazi anayo, yeye ndio kamuweka pale kwa hiyo inabidi apambane maana anaona anawajibika kwa uborongaji wowote
 
Tatu ni mwenyekiti mkubwa wa chama kikuu chenye wafuasi wengi na ushawishi mkubwa kutoa tamko kama serikali haitaridhia na kukaa na kufanya maridhiano ya kisiasa basi WASILAUMIWE KWA WATAKAYOAMUA KUFANYA😨😨
1.Rais wetu hawezi kuzungumzia Makonda kuzuiwa kuingia Amerika,ni suala binafsi hilo
2.Rais wetu hawezi kuzungumzia msaliti kama huyo,duru za kidiplomasia zinafanya kazi
3.Rais wetu hawezi kutishwa na mikwara mbuzi ya chadema
Chadema wamekwisha,wanakwenda kupoteza nafasi ya chama kikuu cha upinzani kwa ACT,kujibizana nao ni kuwapandisha tena juu
 
Inaweza kuwa tatizo sio Rais bali ulevi tu wa kupenda matukio. Kwa lugha nyingine, mkuu hicho kimya kimekusababishia kiu kali ya matukio.
 
Back
Top Bottom