mkalamo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 324
- 347
Leo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amezungumza na waandishi wa habari na kuelezea maazimio ya kamati kuu.
Pia ametumia fursa hiyo kuelezea mazungumzo yake na Rais Samia,Pamoja na ushiriki wa Chama hicho katika kila hatua ya kuleta muafaka na maridhiano ya kitaifa.
Nami nimechukua maeneo haya.
Chadema wamesema wazi wao ni washiriki halali wa kituo Cha Demokrasia nchini wakiwa wanaingia humo kwa kuwa ni miongoni mwa waasisi wa kituo hicho.
Pili Mbowe akasema Kuna Vikao vineitishwa na TCD na wao hawatashiriki kwa kuwa agenda zilizopo hazisemi kama kutakuwa na uwezekano wa kupatikana katiba mpya.
Akaongeza kuwa wao wapo tayari kwa aina yoyote ya kutafuta njia ya kupata katiba mpya kwa maridhiano namikishindikana watachukua hatua nje ya maridhiano.
Hapa ni nini wanaongea?
Kwamba licha ya wao kuwa wanachama wa TCD Lakini pia kama chama kiongozi hawapo tayari kuhudhuria aina yoyote ya kutafuta muafaka na kitakachojadiliwa katika Vikao ambavyo wao wametangaza kususia basi hawatakiafiki kama wasivyoafiki Sasa
Kwamba hawataki nafasi ya kupeleka mapedekezo yao katika kikao hicho ili wabadilishe kile wasichokubaliana nacho sasa zaidi ya kusubiri hatua yao ya mwisho ya kuitafuta katika
Kwamba hawapo tayari kuona aina yoyote ya muafaka au maridhiano ya kisiasa yanafanyika licha ya wao kuwa chama Cha kisiasa chenye wajibu huo
Mwisho Chadema wanatuambia wao hawatahudhuria nahawatapeleka mapedekezo yao na yasipopitishwa Yale waliyo nayo mioyoni mwao basi wataenda kuitafuta katiba katika hatua yao waijuayo
Mimi wamenichanganya na sijui wanataka nini
Pia ametumia fursa hiyo kuelezea mazungumzo yake na Rais Samia,Pamoja na ushiriki wa Chama hicho katika kila hatua ya kuleta muafaka na maridhiano ya kitaifa.
Nami nimechukua maeneo haya.
Chadema wamesema wazi wao ni washiriki halali wa kituo Cha Demokrasia nchini wakiwa wanaingia humo kwa kuwa ni miongoni mwa waasisi wa kituo hicho.
Pili Mbowe akasema Kuna Vikao vineitishwa na TCD na wao hawatashiriki kwa kuwa agenda zilizopo hazisemi kama kutakuwa na uwezekano wa kupatikana katiba mpya.
Akaongeza kuwa wao wapo tayari kwa aina yoyote ya kutafuta njia ya kupata katiba mpya kwa maridhiano namikishindikana watachukua hatua nje ya maridhiano.
Hapa ni nini wanaongea?
Kwamba licha ya wao kuwa wanachama wa TCD Lakini pia kama chama kiongozi hawapo tayari kuhudhuria aina yoyote ya kutafuta muafaka na kitakachojadiliwa katika Vikao ambavyo wao wametangaza kususia basi hawatakiafiki kama wasivyoafiki Sasa
Kwamba hawataki nafasi ya kupeleka mapedekezo yao katika kikao hicho ili wabadilishe kile wasichokubaliana nacho sasa zaidi ya kusubiri hatua yao ya mwisho ya kuitafuta katika
Kwamba hawapo tayari kuona aina yoyote ya muafaka au maridhiano ya kisiasa yanafanyika licha ya wao kuwa chama Cha kisiasa chenye wajibu huo
Mwisho Chadema wanatuambia wao hawatahudhuria nahawatapeleka mapedekezo yao na yasipopitishwa Yale waliyo nayo mioyoni mwao basi wataenda kuitafuta katiba katika hatua yao waijuayo
Mimi wamenichanganya na sijui wanataka nini