Kwa hali hii ni kama CHADEMA hawajui wanachotaka

mkalamo

JF-Expert Member
Sep 7, 2013
324
347
Leo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amezungumza na waandishi wa habari na kuelezea maazimio ya kamati kuu.

Pia ametumia fursa hiyo kuelezea mazungumzo yake na Rais Samia,Pamoja na ushiriki wa Chama hicho katika kila hatua ya kuleta muafaka na maridhiano ya kitaifa.

Nami nimechukua maeneo haya.

Chadema wamesema wazi wao ni washiriki halali wa kituo Cha Demokrasia nchini wakiwa wanaingia humo kwa kuwa ni miongoni mwa waasisi wa kituo hicho.

Pili Mbowe akasema Kuna Vikao vineitishwa na TCD na wao hawatashiriki kwa kuwa agenda zilizopo hazisemi kama kutakuwa na uwezekano wa kupatikana katiba mpya.

Akaongeza kuwa wao wapo tayari kwa aina yoyote ya kutafuta njia ya kupata katiba mpya kwa maridhiano namikishindikana watachukua hatua nje ya maridhiano.

Hapa ni nini wanaongea?

Kwamba licha ya wao kuwa wanachama wa TCD Lakini pia kama chama kiongozi hawapo tayari kuhudhuria aina yoyote ya kutafuta muafaka na kitakachojadiliwa katika Vikao ambavyo wao wametangaza kususia basi hawatakiafiki kama wasivyoafiki Sasa

Kwamba hawataki nafasi ya kupeleka mapedekezo yao katika kikao hicho ili wabadilishe kile wasichokubaliana nacho sasa zaidi ya kusubiri hatua yao ya mwisho ya kuitafuta katika

Kwamba hawapo tayari kuona aina yoyote ya muafaka au maridhiano ya kisiasa yanafanyika licha ya wao kuwa chama Cha kisiasa chenye wajibu huo

Mwisho Chadema wanatuambia wao hawatahudhuria nahawatapeleka mapedekezo yao na yasipopitishwa Yale waliyo nayo mioyoni mwao basi wataenda kuitafuta katiba katika hatua yao waijuayo

Mimi wamenichanganya na sijui wanataka nini
 
Kazi kwelikweli..wanataka TCD yao tu ya kongea na mama samia bila washiriki wengine
 
Leo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amezungumza na waandishi wa habari na kuelezea maazimio ya kamati kuu.

Pia ametumia fursa hiyo kuelezea mazungumzo yake na Rais Samia,Pamoja na ushiriki wa Chama hicho katika kila hatua ya kuleta muafaka na maridhiano ya kitaifa.

Nami nimechukua maeneo haya.

Chadema wamesema wazi wao ni washiriki halali wa kituo Cha Demokrasia nchini wakiwa wanaingia humo kwa kuwa ni miongoni mwa waasisi wa kituo hicho.

Pili Mbowe akasema Kuna Vikao vineitishwa na TCD na wao hawatashiriki kwa kuwa agenda zilizopo hazisemi kama kutakuwa na uwezekano wa kupatikana katiba mpya.

Akaongeza kuwa wao wapo tayari kwa aina yoyote ya kutafuta njia ya kupata katiba mpya kwa maridhiano namikishindikana watachukua hatua nje ya maridhiano.

Hapa ni nini wanaongea?

Kwamba licha ya wao kuwa wanachama wa TCD Lakini pia kama chama kiongozi hawapo tayari kuhudhuria aina yoyote ya kutafuta muafaka na kitakachojadiliwa katika Vikao ambavyo wao wametangaza kususia basi hawatakiafiki kama wasivyoafiki Sasa

Kwamba hawataki nafasi ya kupeleka mapedekezo yao katika kikao hicho ili wabadilishe kile wasichokubaliana nacho sasa zaidi ya kusubiri hatua yao ya mwisho ya kuitafuta katika

Kwamba hawapo tayari kuona aina yoyote ya muafaka au maridhiano ya kisiasa yanafanyika licha ya wao kuwa chama Cha kisiasa chenye wajibu huo

Mwisho Chadema wanatuambia wao hawatahudhuria nahawatapeleka mapedekezo yao na yasipopitishwa Yale waliyo nayo mioyoni mwao basi wataenda kuitafuta katiba katika hatua yao waijuayo

Mimi wamenichanganya na sijui wanataka nini



Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Nonsense
 
Sio Chadema hawajui ni wewe ndie usiyejua unachotaka.

Lile kongamano la TCD hakuna kiongozi yeyote wa Chadema aliyeshiri, iwe kwa kupeleka mapendekezo yao au wao binafsi kuhudhuria, sasa iweje waje kukubaliana na makubaliano yaliyofikiwa bila wao kuwepo?

Zaidi, Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema sijawahi kuwa na shaka nae hata mara moja, na sidhani kama kuna wakati wowote nitakuwa na shaka nae, anajitambua.

Amepitia mengi sana, ni mkomavu hasa, ana msimamo anajua anachopigania, na ana hekima ya kutosha, leo amesema hana chuki na yeyote amesamehe kwa yote, kwake ni Tanzania kwanza.

Wakati mwingine naona wale wanaomtilia shaka Mbowe wanazidiwa na kiwango cha hekima alichonacho kiongozi huyu, wakati yeye huamua kuwa na subira, wale wenye haraka ya mambo humuona kama anachelewa kwasababu amehongwa au vyovyote vile, ila mwishowe ndio akili huwarudia.
 
Leo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amezungumza na waandishi wa habari na kuelezea maazimio ya kamati kuu.

Pia ametumia fursa hiyo kuelezea mazungumzo yake na Rais Samia,Pamoja na ushiriki wa Chama hicho katika kila hatua ya kuleta muafaka na maridhiano ya kitaifa.

Nami nimechukua maeneo haya.

Chadema wamesema wazi wao ni washiriki halali wa kituo Cha Demokrasia nchini wakiwa wanaingia humo kwa kuwa ni miongoni mwa waasisi wa kituo hicho.

Pili Mbowe akasema Kuna Vikao vineitishwa na TCD na wao hawatashiriki kwa kuwa agenda zilizopo hazisemi kama kutakuwa na uwezekano wa kupatikana katiba mpya.

Akaongeza kuwa wao wapo tayari kwa aina yoyote ya kutafuta njia ya kupata katiba mpya kwa maridhiano namikishindikana watachukua hatua nje ya maridhiano.

Hapa ni nini wanaongea?

Kwamba licha ya wao kuwa wanachama wa TCD Lakini pia kama chama kiongozi hawapo tayari kuhudhuria aina yoyote ya kutafuta muafaka na kitakachojadiliwa katika Vikao ambavyo wao wametangaza kususia basi hawatakiafiki kama wasivyoafiki Sasa

Kwamba hawataki nafasi ya kupeleka mapedekezo yao katika kikao hicho ili wabadilishe kile wasichokubaliana nacho sasa zaidi ya kusubiri hatua yao ya mwisho ya kuitafuta katika

Kwamba hawapo tayari kuona aina yoyote ya muafaka au maridhiano ya kisiasa yanafanyika licha ya wao kuwa chama Cha kisiasa chenye wajibu huo

Mwisho Chadema wanatuambia wao hawatahudhuria nahawatapeleka mapedekezo yao na yasipopitishwa Yale waliyo nayo mioyoni mwao basi wataenda kuitafuta katiba katika hatua yao waijuayo

Mimi wamenichanganya na sijui wanataka nini
Kwani ni lazima wakubali maupuuzi yenu?
 
Mbowe ameeleweka vizuri kabisa.

TDC inayoongozwa na Zitto Kabwe inataka tume huru ya uchaguzi.

Chadema ambacho ndio chama kikuu cha upinzani wanataka katiba mpya.

TCD ni chombo tu cha kisiasa lakini siyo cha kikatiba.

Hivyo wanaotaka Tume Huru watakwenda kwa Zitto Kabwe

Wanaotaka Katiba mpya watakwenda kwa Mwamba Mbowe

Mchakato utaendelea, mbona rahisi sana.

Mwananchi wa kawaida haijui kabisa Tume ya uchaguzi ila anaijua Katiba.
 
Sio Chadema hawajui ni wewe ndie usiyejua unachotaka.

Lile kongamano la TCD hakuna kiongozi yeyote wa Chadema aliyeshiri, iwe kwa kupeleka mapendekezo yao au wao binafsi kuhudhuria, sasa iweje waje kukubaliana na makubaliano yaliyofikiwa bila wao kuwepo?

Zaidi, Mbowe kama mwenyekiti wa Chadema sijawahi kuwa na shaka nae hata mara moja, na sidhani kama kuna wakati wowote nitakuwa na shaka nae, anajitambua.

Amepitia mengi sana, ni mkomavu hasa, ana msimamo anajua anachopigania, na ana hekima ya kutosha, leo amesema hana chuki na yeyote amesamehe kwa yote, kwake ni Tanzania kwanza.

Wakati mwingine naona wale wanaomtilia shaka Mbowe wanazidiwa na kiwango cha hekima alichonacho kiongozi huyu, wakati yeye huamua kuwa na subira, wale wenye haraka ya mambo humuona kama anachelewa kwasababu amehongwa au vyovyote vile, ila mwishowe ndio akili huwarudia.
Hawajashiriki vipi wakati Mbowe anakiri wao ni sehemu ya TCD?

Wakiwa sehemu ya TCD ni kipi kiliwazuia wasishiriki ili watoe mapendekezo yao na yakataliwe?

Ikiwa ajenda za mkutano hazijawekwa hadharani iweje Mbowe aseme agenda hazina Nia njema?

Je baada ya wengine kujadili wao watakuwa na uhalali wa kukosoa waliyokubaliana?

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Leo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amezungumza na waandishi wa habari na kuelezea maazimio ya kamati kuu.

Pia ametumia fursa hiyo kuelezea mazungumzo yake na Rais Samia,Pamoja na ushiriki wa Chama hicho katika kila hatua ya kuleta muafaka na maridhiano ya kitaifa.

Nami nimechukua maeneo haya.

Chadema wamesema wazi wao ni washiriki halali wa kituo Cha Demokrasia nchini wakiwa wanaingia humo kwa kuwa ni miongoni mwa waasisi wa kituo hicho.

Pili Mbowe akasema Kuna Vikao vineitishwa na TCD na wao hawatashiriki kwa kuwa agenda zilizopo hazisemi kama kutakuwa na uwezekano wa kupatikana katiba mpya.

Akaongeza kuwa wao wapo tayari kwa aina yoyote ya kutafuta njia ya kupata katiba mpya kwa maridhiano namikishindikana watachukua hatua nje ya maridhiano.

Hapa ni nini wanaongea?

Kwamba licha ya wao kuwa wanachama wa TCD Lakini pia kama chama kiongozi hawapo tayari kuhudhuria aina yoyote ya kutafuta muafaka na kitakachojadiliwa katika Vikao ambavyo wao wametangaza kususia basi hawatakiafiki kama wasivyoafiki Sasa

Kwamba hawataki nafasi ya kupeleka mapedekezo yao katika kikao hicho ili wabadilishe kile wasichokubaliana nacho sasa zaidi ya kusubiri hatua yao ya mwisho ya kuitafuta katika

Kwamba hawapo tayari kuona aina yoyote ya muafaka au maridhiano ya kisiasa yanafanyika licha ya wao kuwa chama Cha kisiasa chenye wajibu huo

Mwisho Chadema wanatuambia wao hawatahudhuria nahawatapeleka mapedekezo yao na yasipopitishwa Yale waliyo nayo mioyoni mwao basi wataenda kuitafuta katiba katika hatua yao waijuayo

Mimi wamenichanganya na sijui wanataka nini

CHADEMA wameplay perfectly kwenye hili. TCD Chini ya Zitto wanataka Tume huru kwanza bila katiba mpya.

Msimamo wa CHADEMA tuandike katiba mpya na Mambo ya Tume huru yatawekwa humo kwenye katiba mpya.
 
Kazi kwelikweli..wanataka TCD yao tu ya kongea na mama samia bila washiriki wengine

Msimamo wa TCD ni tofauti na msimamo wa CHADEMA. Sasa utaendaje kwenye kikao ambacho agenda yake ni tofauti na msimamo wa chama?. Na ukienda maazimio yake yatakufunga na wewe. Wacha na wao wahangaike.
 
Mbowe ameeleweka vizuri kabisa.

TDC inayoongozwa na Zitto Kabwe inataka tume huru ya uchaguzi.

Chadema ambacho ndio chama kikuu cha upinzani wanataka katiba mpya.

TCD ni chombo tu cha kisiasa lakini siyo cha kikatiba.

Hivyo wanaotaka Tume Huru watakwenda kwa Zitto Kabwe

Wanaotaka Katiba mpya watakwenda kwa Mwamba Mbowe

Mchakato utaendelea, mbona rahisi sana.

Mwananchi wa kawaida haijui kabisa Tume ya uchaguzi ila anaijua Katiba.

Kweli mkuu.
 
Hawajashiriki vipi wakati Mbowe anakiri wao ni sehemu ya TCD?

Wakiwa sehemu ya TCD ni kipi kiliwazuia wasishiriki ili watoe mapendekezo yao na yakataliwe?

Ikiwa ajenda za mkutano hazijawekwa hadharani iweje Mbowe aseme agenda hazina Nia njema?

Je baada ya wengine kujadili wao watakuwa na uhalali wa kukosoa waliyokubaliana?

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app

Tume huru ili iwepo lazima katiba ibadilishwe. Sasa CHADEMA wanataka katiba mpya ambayo bado bila hiyo hakuna Tume huru.
 
Hawajashiriki vipi wakati Mbowe anakiri wao ni sehemu ya TCD?

Wakiwa sehemu ya TCD ni kipi kiliwazuia wasishiriki ili watoe mapendekezo yao na yakataliwe?

Ikiwa ajenda za mkutano hazijawekwa hadharani iweje Mbowe aseme agenda hazina Nia njema?

Je baada ya wengine kujadili wao watakuwa na uhalali wa kukosoa waliyokubaliana?

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Vikao vyote vikivyokaa kuhusu Tarehe tajwa Chadema hawakushilishwa isipokua kimoja baada ya Mbowe kutoka Mahabusu!!!..Kikao hicho Ndio kilitoa ajenda za kuja kwenye kongamano Lao na mheshimiwa Raisi!!..Ajenda hizo kama chama wameona hazija waonyesha ni Kwa namna gani wanaweza kupata KATIBA MPYA!!..kikao hicho kinaonyesha kuhusu Tume ya Uchaguzi na bahati mbaya watoa mada ni hao hao Tume ya Uchaguzi!!..Sasa vijana wa Act na Act Kwa Ujumla walikosea kumtukana Katibu wa Chadema na pili walikosea kusema Mbowe ni Gaidi alafu Leo Chadema wanawezaje kukaa nao meza moja?!!..Umeona Press ya CCM na ulisikia maneno ya Shaka baada Tu ya Mbowe kuwa Huru?!!.. Connect hizo Dots!!...Kama CCM wanataka reform ya Jeshi la Polisi inakuaje Act na ndio wanaongoza TCD hawataki?!!..
 
Leo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amezungumza na waandishi wa habari na kuelezea maazimio ya kamati kuu.

Pia ametumia fursa hiyo kuelezea mazungumzo yake na Rais Samia,Pamoja na ushiriki wa Chama hicho katika kila hatua ya kuleta muafaka na maridhiano ya kitaifa.

Nami nimechukua maeneo haya.

Chadema wamesema wazi wao ni washiriki halali wa kituo Cha Demokrasia nchini wakiwa wanaingia humo kwa kuwa ni miongoni mwa waasisi wa kituo hicho.

Pili Mbowe akasema Kuna Vikao vineitishwa na TCD na wao hawatashiriki kwa kuwa agenda zilizopo hazisemi kama kutakuwa na uwezekano wa kupatikana katiba mpya.

Akaongeza kuwa wao wapo tayari kwa aina yoyote ya kutafuta njia ya kupata katiba mpya kwa maridhiano namikishindikana watachukua hatua nje ya maridhiano.

Hapa ni nini wanaongea?

Kwamba licha ya wao kuwa wanachama wa TCD Lakini pia kama chama kiongozi hawapo tayari kuhudhuria aina yoyote ya kutafuta muafaka na kitakachojadiliwa katika Vikao ambavyo wao wametangaza kususia basi hawatakiafiki kama wasivyoafiki Sasa

Kwamba hawataki nafasi ya kupeleka mapedekezo yao katika kikao hicho ili wabadilishe kile wasichokubaliana nacho sasa zaidi ya kusubiri hatua yao ya mwisho ya kuitafuta katika

Kwamba hawapo tayari kuona aina yoyote ya muafaka au maridhiano ya kisiasa yanafanyika licha ya wao kuwa chama Cha kisiasa chenye wajibu huo

Mwisho Chadema wanatuambia wao hawatahudhuria nahawatapeleka mapedekezo yao na yasipopitishwa Yale waliyo nayo mioyoni mwao basi wataenda kuitafuta katiba katika hatua yao waijuayo

Mimi wamenichanganya na sijui wanataka nini
Si mlikuwa mnatamba humu mitandaoni kwa kutengeneza habari fake kuwa mbowe kasalimu amri, atashiriki mkutano wa TCD na hataongelea tena katiba mpya? Au vyanzo vyenu vya habari vilikuwa vinawadanganya?
 
Unapoamua kutafuta ama kuchagua mshirika katika mapambano, ni lazima awe ni mwenye kuaminika, asiye kuwa na sifa za usaliti, na pia awe mwenye maono, malengo ya kimkakati, dhamira, na dhima yenye kushahabiana na yako.

CDM toka mwaka 2016 imepita katika mapito yenye changamoto nyingi sana. Kupitia kwazo inatambua nani hasa ambaye anastahili na kuaminika kuwa mshirika wake katika mapambano yake juu ya demokrasia, haki, utu na ustawi wa jamii yetu. Ni rahisi kukosoa kila linalofanywa na chama hiki, lakini ukweli ni kwamba CDM ndicho chama pekee ambacho kinachokikosesha usingizi CCM.

CCM kwa kushilikiana na vyombo vya dola, vimejaribu kila aina ya hujuma na dhuluma ili kukidhoofisha chama hiki. Lakini jitihada hizo zimeishia patupu.

CDM si jengo la Ufipa, bali ni jeshi la wananchi wengi walio nyuma yake, ambao wanakiunga mkono na kuzikubali sera zake makini. Siri ya kuvurugwa kwa makusudi chaguzi za 2019 na 2020 zinatokana na ukweli huu.



Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
G
Vikao vyote vikivyokaa kuhusu Tarehe tajwa Chadema hawakushilishwa isipokua kimoja baada ya Mbowe kutoka Mahabusu!!!..Kikao hicho Ndio kilitoa ajenda za kuja kwenye kongamano Lao na mheshimiwa Raisi!!..Ajenda hizo kama chama wameona hazija waonyesha ni Kwa namna gani wanaweza kupata KATIBA MPYA!!..kikao hicho kinaonyesha kuhusu Tume ya Uchaguzi na bahati mbaya watoa mada ni hao hao Tume ya Uchaguzi!!..Sasa vijana wa Act na Act Kwa Ujumla walikosea kumtukana Katibu wa Chadema na pili walikosea kusema Mbowe ni Gaidi alafu Leo Chadema wanawezaje kukaa nao meza moja?!!..Umeona Press ya CCM na ulisikia maneno ya Shaka baada Tu ya Mbowe kuwa Huru?!!.. Connect hizo Dots!!...Kama CCM wanataka reform ya Jeshi la Polisi inakuaje Act na ndio wanaongoza TCD hawataki?!!..

Good analysis
 
Vikao vyote vikivyokaa kuhusu Tarehe tajwa Chadema hawakushilishwa isipokua kimoja baada ya Mbowe kutoka Mahabusu!!!..Kikao hicho Ndio kilitoa ajenda za kuja kwenye kongamano Lao na mheshimiwa Raisi!!..Ajenda hizo kama chama wameona hazija waonyesha ni Kwa namna gani wanaweza kupata KATIBA MPYA!!..kikao hicho kinaonyesha kuhusu Tume ya Uchaguzi na bahati mbaya watoa mada ni hao hao Tume ya Uchaguzi!!..Sasa vijana wa Act na Act Kwa Ujumla walikosea kumtukana Katibu wa Chadema na pili walikosea kusema Mbowe ni Gaidi alafu Leo Chadema wanawezaje kukaa nao meza moja?!!..Umeona Press ya CCM na ulisikia maneno ya Shaka baada Tu ya Mbowe kuwa Huru?!!.. Connect hizo Dots!!...Kama CCM wanataka reform ya Jeshi la Polisi inakuaje Act na ndio wanaongoza TCD hawataki?!!..
Hujui ulichoandika

Mbowe amekiri kuwa chama Chao ni sehemu ya TCD maamuzi maazimio ya TCD yanabeba uwajibikaji wa pamoja haijalishi umeshiriki au hujashiriki Kwa sababu zako kwenye hivyo Vikao.

Ni sawa Leo Lissu aje aseme hatambui kilichoazimiwa na Chadema kwa kuwa hajashiriki hicho kikao wakati ni sehemu ya viongozi



Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom