Kwa form 6 2016: Kuna alieapply chuo na yuko chini ya 4. 0?

Kwa form 6 2016: Kuna alieapply chuo na yuko chini ya 4. 0?

system imekuwa program kuchagua wenye point 4 kutoka masomo mawili tu, sasa, sasa kama unafikiri hiyo ni sawa na kubet mpira jaribu uone. Ushauri apply diploma mapema kwanini mnakuwa sio waelewa sio lazima uende chuo kikuu ndio uonekane umesoma wangapi wamemaliza degree na hawana mbele wala nyuma diploma hasa za sayansi ni nzuri sana ukiwa na malengo kwani wanahitajika sana kubali kwamba ulijitahidi sana na matokeo sio mazuri basi songa mbele
asante sana mkuu umemaliza kila kitu
 
Hata akichaguliwa admission letter huwa ni provisional ! Kwa maana ya kuwa atadahiliwa iwapo tu atahakikiwa chuoni kipindi cha registration,so watamtema chuoni
 
Back
Top Bottom