Kwa form 6 2016: Kuna alieapply chuo na yuko chini ya 4. 0?

Kwa form 6 2016: Kuna alieapply chuo na yuko chini ya 4. 0?

Man mshindi

Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
23
Reaction score
16
Kuna dogo langu hapa anataka kuapply hvyo hvyo japo yuko chini ya vigezo naomben maelezo kama kuna aliefanya hvyo akafanikiwa kutuma maombi ila nimsaidie hyu ndugu yetu
 
"Ajaribu tu" lakini CAS ukisha jaza ina matokeo yako ya F4 na F6 hivyo kama point nne hunazo sitashangaa ikakutema na utakuwa umepoteza hela yako. Hata kama CAS ikikufumbia macho-list ya potential student hupelekwa vyuoni nao hupitia kama una vigezo. Hata kama nao watakuchagua siku ya kureport watataka results slip original. Sioni ataokoka vipi apite bila vigezo. Ningemshauri atafute makakati mbadala.
 
yeah kuna rafiki yangu amesoma EGM juzi ameaply degree kupitia TCU na amepata DEE cha ajabu ameruhusiwa kuchagua vyuo na sasa hivi anasubiri kuchaguliwa.
 
yeah kuna rafiki yangu amesoma EGM juzi ameaply degree kupitia TCU na amepata DEE cha ajabu ameruhusiwa kuchagua vyuo na sasa hivi anasubiri kuchaguliwa.
Hii mkuu una uhakika nayo? Kama ni kweli mshauri pia angalie program mbadala asije akaishia hewani na kupoteza muda wake.
 
Hii mkuu una uhakika nayo? Kama ni kweli mshauri pia angalie program mbadala asije akaishia hewani na kupoteza muda wake.
yeah mkuu na uwakika na kitu nilicho kiandika yani sijuhi TCU system yao ipo vp kwenye kudahili elimu ya vyuo vikuu...
 
Kuapply anaweza maana ataruhusiwa anachofanya ni kuongezea hela TCU ila post yake haitoki
Maana hata kama umesoma HKL unaweza kuapply MD MUHAS system wakat unaapply haikuzuii ila utakiona kwenye selection
NACTE wameongeza muda mpk Jmosi akaaply huko......
 
Kuapply anaweza maana ataruhusiwa anachofanya ni kuongezea hela TCU ila post yake haitoki
Maana hata kama umesoma HKL unaweza kuapply MD MUHAS system wakat unaapply haikuzuii ila utakiona kwenye selection
NACTE wameongeza muda mpk Jmosi akaaply huko......
[emoji85] [emoji85] [emoji85] n kweli aisee kuna dogo PCB kafanya nmemfnyia application.
Chaajabu tukieka education ya arts inakubali.
Tukieka petroleum inakubali.
Tukieka electrical inakubali naakaati petro na electr znaitaj PCM[emoji87] [emoji87]
 
[emoji85] [emoji85] [emoji85] n kweli aisee kuna dogo PCB kafanya nmemfnyia application.
Chaajabu tukieka education ya arts inakubali.
Tukieka petroleum inakubali.
Tukieka electrical inakubali naakaati petro na electr znaitaj PCM[emoji87] [emoji87]
Hii ina maanisha lazima tuwe waangalifu zaidi kama stage ya maombi CAS haioanishi ufaulu na program uliomba. Kazi hiyo basi itafanyika kuanzia 01.09.2016 hivyo kama umekosea itakula kwako na itakutema haraka sana.
 
screenshot_2016-08-11-22-18-46-png.379859
 
yeah kuna rafiki yangu amesoma EGM juzi ameaply degree kupitia TCU na amepata DEE cha ajabu ameruhusiwa kuchagua vyuo na sasa hivi anasubiri kuchaguliwa.
Sasa DEE si ni point 4 izo, au Hujaangali vzur?
 
system imekuwa program kuchagua wenye point 4 kutoka masomo mawili tu, sasa, sasa kama unafikiri hiyo ni sawa na kubet mpira jaribu uone. Ushauri apply diploma mapema kwanini mnakuwa sio waelewa sio lazima uende chuo kikuu ndio uonekane umesoma wangapi wamemaliza degree na hawana mbele wala nyuma diploma hasa za sayansi ni nzuri sana ukiwa na malengo kwani wanahitajika sana kubali kwamba ulijitahidi sana na matokeo sio mazuri basi songa mbele
 
Back
Top Bottom