Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Wana JF nisaidieni kwa hili;
Ukiangalia mfumo wa elimu yetu ya Tz ka imekaa kimagumashi magumashi kwa sababu haibadiliki na technologia mfano madarasa,vifaa vilivyoachwa na wakoloni mpaka leo ndo hivyo hivyo,walimu ni hawa VODAFASTA, kweli ni haki mwanafunzi anamaliza FORM FOUR hajawahi kuona hata test tube?????????
Vibaka,matapeli wanaongezeka kwa sababu ya hii system ambayo inamfanya PROFESIONAL kuwa ombaomba kwa kutokujua vitu PRACTICALLY.
Naumia sana jameni.............anyway mwaonaje??????
Ukiangalia mfumo wa elimu yetu ya Tz ka imekaa kimagumashi magumashi kwa sababu haibadiliki na technologia mfano madarasa,vifaa vilivyoachwa na wakoloni mpaka leo ndo hivyo hivyo,walimu ni hawa VODAFASTA, kweli ni haki mwanafunzi anamaliza FORM FOUR hajawahi kuona hata test tube?????????
Vibaka,matapeli wanaongezeka kwa sababu ya hii system ambayo inamfanya PROFESIONAL kuwa ombaomba kwa kutokujua vitu PRACTICALLY.
Naumia sana jameni.............anyway mwaonaje??????