Katu Tanzania haitaongozwa na mtu aliyewahi kuwa kiongozi wa dini, japo kuwa katiba inaruhusu mtu yoyote kugombea urais. Kama mnataka kuitoa CCM madarakani simamisheni mgombea ambaye hajawahi kuwa kiongozi wa dini yoyote.
Ni ushauri tu.
Acha ujanja wa mbuni wa kuzika kichwa mchangani ili hali kiwiliwili chote kikiwa nje, akijidhani kwamba adui humuoni kwasababu yeye (mbuni) hamuoni.
Mbona mwaka 1995 aliposimamishwa Mrema hamukuitoa CCM madarakani?
Mbona mwaka 2000 aliposimamishwa Prof. Lipumba hamukuitoa CCM madarakani?
Mbona mwaka 2005 aliposimamishwa Mbowe hamukuitoa CCM madarakani?
Mwaka 2010 mmechakachua matokeo na majaaliwa ya mwaka 2015 yako mashakani, then unakuja na ushauri huu wa "Karumekenge".
Kubali tu Dr. Slaa ni maji marefu kwa CCM na bila kujirekebisha CCM (which i dont see it in a near future) 2015 CCM watakuwa
wapinzani 2015 Count my words