Kwa boys woote mada nzito

Kwa boys woote mada nzito

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Kijana badala ya kujishughulisha na kazi unakaa unawaza mademu mda woote ni mapenzi mchana kutwa unatunga tunga tu sms za mapenzi ww unamiaka 26 unakuwa na sura mzee wa miaka 76 kisa kuwazawaza mademu tu kutwa fanya kazi acha kuwaza wa mama mwanaume jitumeee
 
We si ndo umenusurika kuchunwa samsung ya laki tatu na nusu!!!
Naona akili imekukaa sawa sasa
nwanamke ni kama mkanda wa kiunoni utake usitake utauvaa tu
usimuwaze mwanamke umekuwa nani wewe, hebu ishiaaaa
 

Nimekumata patamu leo!
Kila siku haupatikani! Nimekudipu wee, but hudipuki!
Haya leo nataka unitakie Easter njema afu unipe na zawadi zangu!
Na ole wako usinipe! :evil: :smash: leo siondoki hapa!
 
We si ndo umenusurika kuchunwa samsung ya laki tatu na nusu!!!
Naona akili imekukaa sawa sasa
nwanamke ni kama mkanda wa kiunoni utake usitake utauvaa tu
usimuwaze mwanamke umekuwa nani wewe, hebu ishiaaaa

na boys je
 
We si ndo umenusurika kuchunwa samsung ya laki tatu na nusu!!!
Naona akili imekukaa sawa sasa
nwanamke ni kama mkanda wa kiunoni utake usitake utauvaa tu
usimuwaze mwanamke umekuwa nani wewe, hebu ishiaaaa

umeniacha hoi rafiki, yani mwanamuke ni kama maji usipoyanywa utayaoga tu.

walahi jahazi khuuuuuuuh!
 
Kijana badala ya kujishughulisha na kazi unakaa unawaza mademu mda woote ni mapenzi mchana kutwa unatunga tunga tu sms za mapenzi ww unamiaka 26 unakuwa na sura mzee wa miaka 76 kisa kuwazawaza mademu tu kutwa fanya kazi acha kuwaza wa mama mwanaume jitumeee

Pummmmmmmmbaf! Kama yamekushinda kaa chonjo!

Kazi na dawa ndio musemo ya mujini!
Do you know that?
 
Nimekumata patamu leo!
Kila siku haupatikani! Nimekudipu wee, but hudipuki!
Haya leo nataka unitakie Easter njema afu unipe na zawadi zangu!
Na ole wako usinipe! :evil: :smash: leo siondoki hapa!
Hahaaa!!
Nimeku miss best!!
Happy Easter best,stay blessed!!
 
Hahaaa!!
Nimeku miss best!!
Happy Easter best,stay blessed!!

Chitati!

Easter mbaya iwe nawe endapo utashindwa kunipa jawadi zangu!
Muone vile! Hajanirushia hata kipande cha keki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom