Kwa bajeti hii nichukue simu gani?

Kwa bajeti hii nichukue simu gani?

Hahaha kila mtu fundi. Na mi ngoja nipngeze:

Kama unataka camera chukua Google Pixel 4 au 4a (600,000/=)

Kama unataka ukae nayo zaidi ya 2 years chukua X au XR (800,000 hadi 900,000/=)

Kama unataka budgetiwise na chenji irudi chukua Xiaomi Note.

Samsung chukua Note kama unataka simu kubwa na unashida na stylus pen.
 
Simu ni Samsung tu, hizo zingine ni mbwembwe tu zinawatu wake
 
Hahaha kila mtu fundi. Na mi ngoja nipngeze:

Kama unataka camera chukua Google Pixel 4 au 4a (600,000/=)

Kama unataka ukae nayo zaidi ya 2 years chukua X au XR (800,000 hadi 900,000/=)

Kama unataka budgetiwise na chenji irudi chukua Xiaomi Note.

Samsung chukua Note kama unataka simu kubwa na unashida na stylus pen.
Kwanini asichukue Google pixel 4XL sababu ya ukubwa wa battery na Flagship Soc?
 
Back
Top Bottom