Wadau kwema, nina 900K. Kwa hio hela nataka simu kati ya iPhone X au note 10. Ipi itakuwa Chagford zuri ukizingatia Performance, Camera, Chaji na Matumizi mengine kwa ujumla.
Kama kuna chaguo lingine bora pia kwa Budget hio tushauriane.
Asante!
Ya kawaida kama ipi kakaKwa kiasi hicho cha pesa usitumie iPhone maana zote ni referb, utaliwa pesa Zako tuu..
Pili simu za gharama Sana kama ww ni mtu wa mabihashara ya kutangaza vtu, lkn kama ww ni wa kawaida chukua ya kawaida tuu.. NI USHAURI
Samsung A71.Wadau kwema, nina 900K. Kwa hio hela nataka simu kati ya iPhone X au note 10. Ipi itakuwa Chagford zuri ukizingatia Performance, Camera, Chaji na Matumizi mengine kwa ujumla.
Kama kuna chaguo lingine bora pia kwa Budget hio tushauriane.
Asante!
Huawei iliyopigwa ban ya Mmarekani kutumia Google services??Simu Ni Huawei.
Kwa hiyo pesa utapata Huawei original kabisa kutoka kwa genuine dealer.
Motorolla S26Wadau kwema, nina 900K. Kwa hio hela nataka simu kati ya iPhone X au note 10. Ipi itakuwa Chagford zuri ukizingatia Performance, Camera, Chaji na Matumizi mengine kwa ujumla.
Kama kuna chaguo lingine bora pia kwa Budget hio tushauriane.
Asante!
Hizi zinatumia android bado?Simu Ni Huawei.
Kwa hiyo pesa utapata Huawei original kabisa kutoka kwa genuine dealer.
ItelYa kawaida kama ipi kaka
Duh. Thanks, nilikua na mpango wa kubadilisha simu mwezi huuHuawei iliyopigwa ban ya Mmarekani kutumia Google services??
Ukiachana na iPhone unapenda" brand" ghani?Ya kawaida kama ipi kaka