CAS Applications Now Closed
We are finalizing the guidebook for applicants with diploma qualifications. The system will be open for applications on 15th August 2016. We applogise for delays.
Watu watavuta subira mwisho hiyo subira itaisha waanze kuvuta bangeTuzidi vuta subira labda kuna mapya yataletwa
Punguza hasira usituharibie kazi tafadhari.... Muda ukifika tutawataarifu.Kwa Mujibu wa TCU mara ya kwanza walisema Tarehe 31 July..
Wakahairisha(Bila kuomba Radhi) na kusema Tar8 August..
Lakini mpaka sasa Tangazo Lao Linasomeka Hivyohivyo Tar8 August wakat imekwishapita..
Kimsingi Tunaishi Maisha Ambayo Yalipaswa kuishi Nyani..
Taasisi kubwa na inayoendeshwa na wasomi,na ambayo ni backborn ya uhai wa maendeleo ya taifa letu hawakupaswa kufanya mambo ya kitoto kama haya..
Wangekuwa wanapokea simu zao ningewauliza WANAVUTA BANGE YA WAPI.??
DUU!!wa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six science waliokosa sifa za kujiunga na shahada foundation courses za mwaka 1 pia zipo .hii ni kwa wanafunzi wanojilipia wenyewe
Duu Sawasawa kazi kwetu kupata taarifa!Punguza hasira usituharibie kazi tafadhari.... Muda ukifika tutawataarifu.
Ahahahahahahahahahahaha!Mad scientist..!!!
Nafikiri hii ID yako inatosha kuwa JIBU kwanini umeshindwa kunielewa..!
Jibu:Sivuti bange navuta hewa ya Oxygen..!
Nanote kauli ya mh siyo usemi wngu "sheria inasema ukikatazwa kufanya kitu ww ukakaidi na kuamua kufanya utapigwa tu maana hamna namna nyngne"JAMANI MNAONAJE TUKAJIKUSNYA WOTE KWA PAMOJA NA KUPAZA SAUTI ZETU KULIKO KUBAKI HUM JUKWAANI PEKEE.
MNAZO GPA 3.5
KAMA SUBIRA TUMESHAVUTA VYA KUTOSHA, LABDA SASA TUVUTE BANGE TU
Pole sana rafikiWatarekebisha Na GPA ?, au inabaki hivyo hivyo ya 3.5?, maana wengine kma mm Ni 3.2!, mwenye kufaham hilo waba jamvi
Are they still finalizing the guidebook,,,,,,,,?