Kwa Mujibu wa upuu.zi na upumbav.u wa TCU mara ya kwanza walisema Tarehe 31 July..
Wakahairisha(Bila kuomba Radhi) na kusema Tar8 August..
Lakini mpaka sasa Tangazo Lao Linasomeka Hivyohivyo Tar8 August wakat imekwishapita..
Kimsingi Tunaishi Maisha Ambayo Yalipaswa kuishi Nyani..
Taasisi kubwa na inayoendeshwa na wasomi,na ambayo ni backborn ya uhai wa maendeleo ya taifa letu hawakupaswa kufanya mambo ya kitoto kama haya..
Wangekuwa wanapokea simu zao ningewauliza WANAVUTA BANGE YA WAPI.??
Na wewe unavuta bange za wapi?Namba ya KIRUMI isomeke kimyakimya tafadhali..!
2020 HASIRA zako malizia kwenye SANDUKU la kupigia KURA..!
Then baada ya hapo kaa mita 50 kujilidhisha..!
Mad scientist..!!!Na wewe unavuta bange za wapi?
Namba ya KIRUMI isomeke kimyakimya tafadhali..!
2020 HASIRA zako malizia kwenye SANDUKU la kupigia KURA..!
Then baada ya hapo kaa mita 50 kujilidhisha..!
Vipi..!?Khe!
Sikubaliani na ushauri wako...kuna wengine tunapumlia mashine ni huruma tu za tcu na nacte..JAMANI MNAONAJE TUKAJIKUSNYA WOTE KWA PAMOJA NA KUPAZA SAUTI ZETU KULIKO KUBAKI HUM JUKWAANI PEKEE.
Vipi..!?
Nimegusa panapo MASILAHI yako binafsi..!?
Sawa..!Sijuwi
Hahahaha iyo kibokoKwa Kukusaidia tu Ninakukumbusha Kuwa DeadLine Ya Kupokea Maombi Ni Tarehe 31/August/2016 Lakini Tarehe Ya Kuanza Kupokea Maombi Haijulikani.
Kwahivyo Usishangae Tukaanza Kupokelewa Maombi Tarehe 30/08/2016 au Tukaambiwa Tusubiri Mwakani 2017.
Tuzidi vuta subira labda kuna mapya yataletwaJAMANI MNAONAJE TUKAJIKUSNYA WOTE KWA PAMOJA NA KUPAZA SAUTI ZETU KULIKO KUBAKI HUM JUKWAANI PEKEE.