In christ alone
Member
- Jul 2, 2016
- 51
- 33
Haha wamepiga tiktaka mpa 15 August.
OkayTuwe na subra ilikua sio kaz rahsi kuhama nacte kwenda tcu maana yalikua maamzi ya kukurupuka so kunakazi kumbuka hadi gpa wamesema 3.5 mtuwasubiri wataongezea namda wakufanya applctn
TCU kama dem ambae hakupendi, kalenda deile kama hivyo yani.. utamvumilia kwa kuwa unataka kumtafuna, sasa akija kuachia hio tarehe 15, huo mgegedo wake, ule wa kikosi cha mizinga kwa Duli unasubiri.
haina neno baba, washugulikie tu, sisi tunajiandaa kwa mchuzi wa pwezaTCU wanasema wanashughulikia guide book ya diploma hvyo tusubiri mpaka tarehe 15. kwa uhakika zaidi waweza cheki kwenye website yao, tangazo hilo wametoa mda c mrefu




![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
haina neno baba, washugulikie tu, sisi tunajiandaa kwa mchuzi wa pweza![]()

Mtu kauliza swali current, wewe unamjibu kupiga kura.Mad scientist..!!!
Nafikiri hii ID yako inatosha kuwa JIBU kwanini umeshindwa kunielewa..!
Jibu:Sivuti bange navuta hewa ya Oxygen..!
HahaTCU kama dem ambae hakupendi, kalenda deile kama hivyo yani.. utamvumilia kwa kuwa unataka kumtafuna, sasa akija kuachia hio tarehe 15, huo mgegedo wake, ule wa kikosi cha mizinga kwa Duli unasubiri.
Okay, Let us wait!CAS Applications Now Closed
We are finalizing the guidebook for applicants with diploma qualifications. The system will be open for applications on 15th August 2016. We applogise for delays.
Ah Wapi!!! Mimi Siwezi Kuwaamini Tena Kwa Calenda Wanazotupiga, Maana Hiyo Tarehe 15 utakuja Ambiwa ishakuwa 25
Nahisi arusha jombaa.Kwa Mujibu wa TCU mara ya kwanza walisema Tarehe 31 July..
Wakahairisha(Bila kuomba Radhi) na kusema Tar8 August..
Lakini mpaka sasa Tangazo Lao Linasomeka Hivyohivyo Tar8 August wakat imekwishapita..
Kimsingi Tunaishi Maisha Ambayo Yalipaswa kuishi Nyani..
Taasisi kubwa na inayoendeshwa na wasomi,na ambayo ni backborn ya uhai wa maendeleo ya taifa letu hawakupaswa kufanya mambo ya kitoto kama haya..
Wangekuwa wanapokea simu zao ningewauliza WANAVUTA BANGE YA WAPI.??
Ndo nn?Nahisi arusha jombaa.
Bange ya arushaNdo nn?