rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,715
Ha ha ha aaaJAMANI MNAONAJE TUKAJIKUSNYA WOTE KWA PAMOJA NA KUPAZA SAUTI ZETU KULIKO KUBAKI HUM JUKWAANI PEKEE.
Ha ha ha aaaJAMANI MNAONAJE TUKAJIKUSNYA WOTE KWA PAMOJA NA KUPAZA SAUTI ZETU KULIKO KUBAKI HUM JUKWAANI PEKEE.
Wanataka kumjaribu? au sijaelewa vizuri.Ha ha ha aaa
usipende kuishi kwa huruma za wenye mamlaka simama kwa unachokiamininiSikubaliani na ushauri wako...kuna wengine tunapumlia mashine ni huruma tu za tcu na nacte..
kikubwa tuvute subira
Wengine tumevuta subira mpk inakaribia kukatika sasa, ila ni kimya tuuTuzidi vuta subira labda kuna mapya yataletwa![]()
Tuzidi vuta subira labda kuna mapya yataletwa![]()
Mkuu bange peke yake haitoshi, tuchanganye na mavi ya pundaKAMA SUBIRA TUMESHAVUTA VYA KUTOSHA, LABDA SASA TUVUTE BANGE TU
Ngojeni kwanza tumalize na wanafunzi wa kidato cha sita nyie baadae baada ya mwezi wa nane,kwanza nyie mna kaziJaman nashindwa kuelewa lini application za wenye diploma zitaanza! Sijajua TCU wametoa taarifa gani na mwisho ni lini? Nisaidieni jamani!

Ngojeni kwanza tumalize na wanafunzi wa kidato cha sita nyie baadae baada ya mwezi wa nane,kwanza nyie mna kazi![]()
![]()
![]()
![]()
Ni kweli hapo jibu litapatikanaMlioko dar kesho mwende kwenye ofisi za TCU ili mmpate majibu kamili kuhusu nini kinaendelea.
Yeah, ndio hivyoNi kweli hapo jibu litapatikana
Mkienda mtupe taarifa yaliyojiri!Ni kweli hapo jibu litapatikana
Mkuu Sio Sote Tulio na Kazi, Wengine Tumemaliza Diploma Kabla Ya Kuajiriwa au Kujiajiri Tunataka Tuunganishe Na Bachela Kabisa.
Kweli hata mm nmeona wameeka soon! Inamaana walikua hawajajiandaa au mbn bado siwaelewi daaah!Naona wameondoa tarehe wameweka neno "soon".

Iyo soon inawezakaaa siku 3 apoKweli hata mm nmeona wameeka soon! Inamaana walikua hawajajiandaa au mbn bado siwaelewi daaah!![]()
![]()