Natumia voda na tiGO zote zimekataa 3g na 4g zinaishia Edge tu. TTCL sijajaribu badoumejaribu 4g ya voda na TTCL?
Nilinunua Hongkong mpya kufika hapa ndio inaleta hiyo mambo. Haijawahi kuflashiwaulinunua mpya? ushawahi kuiflash?
Net inakamata Edge tukwani haiingii net kbs?
mkuu hebu nenda setting then about tuma model yake tuiangalie frequencyN
Natumia voda na tiGO zote zimekataa 3g na 4g zinaishia Edge tu. TTCL sijajaribu bado
Model MI 5Cmkuu hebu nenda setting then about tuma model yake tuiangalie frequency
angalia vizuri hapo nilipokueleza hilo ni jina tu la jumla kunakuwa na model nambaModel MI 5C
angalia vizuri hapo nilipokueleza hilo ni jina tu la jumla kunakuwa na model namba
jaribu kutumia imei mkuu tumia hata tool hii ya tcra
ficha hizo imei
kama ulivyoambiwa hapo juu ficha imei, sikukuambia uzitume humu sababu ya usalama wako, si kila mtu ana nia nzuri.
Simu yako haina FDD bands hivo hauwezi tumia mtandao wa 4G isipokua Smart.
Mkuu Simu yangu ya 3G naweza kui upgrade ikashika 4G?Simu yako haina FDD bands hivo hauwezi tumia mtandao wa 4G isipokua Smart.
Kuhusu kushika 3G nenda kwenye Mobioe networks then Network Types Set 3G Only au WCDMA Only
kama ulivyoambiwa hapo juu ficha imei, sikukuambia uzitume humu sababu ya usalama wako, si kila mtu ana nia nzuri.
kuhusu hizo bands hapo una 38,39,40 na 41. bahati nzuri mtandao wa smart unatumia band 40
nenda ofisi za smart wakakusajilie line yao ya 4G, ila sifahamu unapoishi kama itakuwa inashika hio 4G ila sio mbaya kujaribu.
Simu yako haina FDD bands hivo hauwezi tumia mtandao wa 4G isipokua Smart.
Kuhusu kushika 3G nenda kwenye Mobioe networks then Network Types Set 3G Only au WCDMA Only
Haiwezekani mkuu hiyo!Mkuu Simu yangu ya 3G naweza kui upgrade ikashika 4G?
mkuu jaribu hapa kumbe si peke yako inazingua hata mbele MI5C 4G LTE problem - Mi 5c - Xiaomi MIUI Official ForumKwa wanozifahamu Xiaomi ni simu za China (wanaziita Chinese apple) mi nina "Xiaomi mi 5c" lakini tangu imefika hapa Tz imekataa kukamata 3g au 4g, msaada plz wa kufix hii mambo