Kwa anayejua ufaulu unaohitajika Ilboru au Tabora boys!

Mara nyingi kwa miaka ile wtulikuwa tunaenda wenye division one mwisho 14 au mambo yakiwa magumu 17, pia kombi uwe na na minimum bbc. But siku hizi elimu imepigwa mateke hata sielewi mara leo a+ kesho b+ kesho kutwa s mara division five majanga tupu
Basi ulikuwa kilaza yaani BBC kwenye combination unaenda kipaji??
 
Inabidi awe na points 5 minimum kwa PCM na PCB lakini pia inadepend na ufaulu,wapo strict sana kwenye hili kwani kuna watu walihamiaga na walikuwa wanapoints chini ya hizo wakarudisha,usikate tamaa mambo yanaweza kukunyookea pia.Ila kama ni HGL hapo minimum ni BBC
 
umependa majina au elimu inayotolewa hapo? nikushauri kama una uwezo kasome shule za private hizi za serikali ni kwa sababu tu uwezo mdogo. binafsi nimesoma Tabora wanachukua kuanzia point 3 mpaka 5 kwa masomo ambayo combination imebalance pale kuna PCM PCB na HGL
 
Hii inategemea na ufaulu wa mwaka huu. Lakini mara nyingi ni kwenye combination yake minimum points iwe 5 yaani ABB kama ufaulu ni mbovu na iwe division one wakati wetu ilikuwa mwisho one ya 14.Walizingatia vigezo vyote viwili yaani one mwisho 14 na cut off point mwisho 5 kwenye combination. Kuna mmoja alikuwa na one ya 15 lakini combination alikuwa na AAB aliachwa na akachukuliwa wa ABB one ya 11. Mara nyingi div2 anaweza kuchukuliwa kama ni arts mfano HGL kwa tabora boys ilboru au mzumbe au CBA kwa kibaha. Lakini PCB au PCM wako strict sana hawachukui asilani.
 
umependa majina au elimu inayotolewa hapo? nikushauri kama una uwezo kasome shule za private hizi za serikali ni kwa sababu tu uwezo mdogo. binafsi nimesoma Tabora wanachukua kuanzia point 3 mpaka 5 kwa masomo ambayo combination imebalance pale kuna PCM PCB na HGL
Unamshauri aende private kwa nini? Vipi ulizinguliwa na woso ukaondoka na div 3 nini?
Anyway.
Najua muhimu ni kuwa na point 5 ukianguka sana point 6....
 
Mara nyingi unachaguliwa moja kwa moja kulingana na alama ulizopata. Div one ya point 7 hadi 14, huku ukiwa na pointi 3( A flat) kwenye combination.
Pia kuhamia sio rahisi unless umetoka shulw hizi kibaha. Mzumbe, kismir, ilboru au tabora wavulana.
 
Mara nyingi unachaguliwa moja kwa moja kulingana na alama ulizopata. Div one ya point 7 hadi 14, huku ukiwa na pointi 3( A flat) kwenye combination.
Pia kuhamia sio rahisi unless umetoka shulw hizi kibaha. Mzumbe, kismir, ilboru au tabora wavulana.
Nimekupata mkuu
 
Unamshauri aende private kwa nini? Vipi ulizinguliwa na woso ukaondoka na div 3 nini?
Anyway.
Najua muhimu ni kuwa na point 5 ukianguka sana point 6....
Ila mm Nina point 6 sayansi na 3 kwenye art hapo ndo tatizo yan!!
 
Back
Top Bottom