Samahani ndugu zangu!
Naomba kuuliza, Kuna dogo langu amepata division one ya 8, ila combination anazotamani kusoma yaan PCM,PCB na PGM, ufahulu wake ni (CAA) make Physics ana "C " afu hayo masomo ni "A".
Swali langu ni je anaweza kupata nafasi kwenye hizo shule za vipaji maalumu?
Naomba kuuliza, Kuna dogo langu amepata division one ya 8, ila combination anazotamani kusoma yaan PCM,PCB na PGM, ufahulu wake ni (CAA) make Physics ana "C " afu hayo masomo ni "A".
Swali langu ni je anaweza kupata nafasi kwenye hizo shule za vipaji maalumu?