#COVID19 Kwa anayejua tunapataje kadi za chanjo ya COVID-19 tujuzane

ngonyango

JF-Expert Member
Aug 7, 2017
1,883
1,599
Tuna zaidi ya wiki sasa tangu tuchanjwe chanjo ya COVID19 kwa mbwembwe sana huku makao makuu ya nchi lakini mpaka sasa hakuna taarifa ya uhakika juu ya lini na kwa njia gani tutapata hizo kadi za chanjo.

Nikiuliza pale Benjamini Mkapa Hosp naambiwa mara tunasubiri za online mara tunasubiri Wizara itatuma, kwa kifupi hawaeleweki.

Nimeshaahirisha safari yangu ya nje mara mbili sasa sababu sina kadi. Ni huzuni kubwa

Najiuliza hivi Wizara ilikuwa inategemea nini kuleta chanjo nyingi kadi chache au kadi nazo mpaka watupe msaada pia?

Nawasilisha
 
Nenda sehemu yoyote wanayochanjwa utachanjwa.Mimi nilienda Temeke hospital nikadanganya kuwa nina Pumu nikachanjwa fasta sana bila kikwazo chochote kile.Ni wewe tu.
 
Certificates za vaccination bado zinashughulikiwa na wahusika hata mimi nina wiki moja nilifuatilia wakaniambia nicheck nao wiki ijayo
 
Nenda sehemu yoyote wanayochanjwa utachanjwa.Mimi nilienda Temeke hospital nikadanganya kuwa nina Pumu nikachanjwa fasta sana bila kikwazo chochote kile.Ni wewe tu.
Soma vizuri....siyo chanjo naongelea vyeti/kadi
 
Upo kwenye Database ya Dunia kule zinaandaliwa Kadi maalumu kuwa mkazi wa Dunia na pia utapata fursa ya kuchagua Serikali ya Dunia. Rangi ya kijani ipo siku itakuwa ni mwisho
 
Tuna zaidi ya wiki sasa tangu tuchanjwe chanjo ya COVID19 kwa mbwembwe sana huku makao makuu ya nchi lakini mpaka sasa hakuna taarifa ya uhakika juu ya lini na kwa njia gani tutapata hizo kadi za chanjo.

Nikiuliza pale Benjamini Mkapa Hosp naambiwa mara tunasubiri za online mara tunasubiri Wizara itatuma, kwa kifupi hawaeleweki.

Nimeshaahirisha safari yangu ya nje mara mbili sasa sababu sina kadi. Ni huzuni kubwa

Najiuliza hivi Wizara ilikuwa inategemea nini kuleta chanjo nyingi kadi chache au kadi nazo mpaka watupe msaada pia?

Nawasilisha
Kwani Chanjo haizuii Corona bila kadi? Kama umechanja si basi Kiongozi?
 
Tuna zaidi ya wiki sasa tangu tuchanjwe chanjo ya COVID19 kwa mbwembwe sana huku makao makuu ya nchi lakini mpaka sasa hakuna taarifa ya uhakika juu ya lini na kwa njia gani tutapata hizo kadi za chanjo.

Nikiuliza pale Benjamini Mkapa Hosp naambiwa mara tunasubiri za online mara tunasubiri Wizara itatuma, kwa kifupi hawaeleweki.

Nimeshaahirisha safari yangu ya nje mara mbili sasa sababu sina kadi. Ni huzuni kubwa

Najiuliza hivi Wizara ilikuwa inategemea nini kuleta chanjo nyingi kadi chache au kadi nazo mpaka watupe msaada pia?

Nawasilisha
tupo kuzisaini hapa punguza wenge utapewa kadi yako mfumo wa BVr unasumbua sumbua

Sent from my SM-G988N using JamiiForums mobile app
 
Kama ni msafiri nenda na kadi yako ya yellow fever ipo sehemu kwenye hiyo kadi ina magonjwa mengine kama sikosei kurasa tatu kutoka mwisho hapo ndio wape hao wagonge muhuri na kusaini tarehe uliyochanjwa...na kitambulisho ulichotumia kuchanja safari hapo ipo...unaenda na kurudi...
 
Marekani huko wanauziana hizo kadi feki mitandaoni unanunua unaendelea na mambo yako.
 
Waachekuchanja mpaka kadi zipatikane.haraka ya kutoa Chanjobila cheti ni usumbufu fikiria babies mzee analetwa kituoni na tax akichanjwa anaambiwa chetisiku nyingine au utafahamishwa.madawa toka marekani je cheti kinatoka wapi kwa usafiri gani?kitatumia mud gani kufika.labda ni njia ya kupata pesa baadaye kupungusa makali ya uendeshaji.tuwe S.M.A.R.T.(simple measurable achievable realistic and timebond. )
 
Back
Top Bottom