JAMBONIA LTD
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 576
- 263
- Thread starter
-
- #41
E walaa ila na wakati mwengine wao pia wanakuwa na master hata PhD .....Hujamuelewa sheikh,kwenye vyuo vikuu,huwa Kuna ma technician ambao huwa wanawasaidia wanafunzi wa ngazi za bachelor,Masters,PHD kufanya practicals zao,kama kuwatayarishia vifaa nk,sasa mdau anauliza,hao matechnician wanalipwa ngapi?kuanzia wale wanaosaidia watu wa bachelor mpaka PHD
Kama hukuwa serious kwenye kusoma tutaamini vipi utakua serious kufanya tafiti na kufundisha watoto wetu?Na hiki kigezo cha GPA mie ningelikuwa mshauri sidhani kama kina faida saana mtu aangaliwe uwezo wake binafsi katika ku delivery materials kwa wanafunzi, vyuoni kuna chenga nyingi za panya kupiga GPA kubwa
Mkuu wewe ndio hukumuelewa yeye anataka ma Technician wa vyuo kwa level zao za elimu kuanzia ma Technician wenye degree master na Phd.Hujamuelewa sheikh,kwenye vyuo vikuu,huwa Kuna ma technician ambao huwa wanawasaidia wanafunzi wa ngazi za bachelor,Masters,PHD kufanya practicals zao,kama kuwatayarishia vifaa nk,sasa mdau anauliza,hao matechnician wanalipwa ngapi?kuanzia wale wanaosaidia watu wa bachelor mpaka PHD
Through intreviewKama hukuwa serious kwenye kusoma tutaamini vipi utakua serious kufanya tafiti na kufundisha watoto wetu?
Ok good sasa Mimi nipo hapo katika Professional designation na si education levelMleta mada,
kuna maana mbili za "Technician". Either kama official designation au kama level of education.
Kwa official designation, ni sahihi kuwa na Technician mwenye Dgr mpaka PhD. Anakuwa based on technical aspects za kazi zake tu.
Ila, kwa level of education, its impossible either chuoni au mtaani Technician kuwa mmiliki wa Dgr mpaka PhD maana pindi atakapo pata either, jina lake litabadilika m.f from Civil Technician Msuya to Eng Msuya or Dr. Msuya.
Kingine, toka mwaka juzi, chuo hakiajiri mtu aliyepata GPA ndogo ya Masters na Degree sababu saivi (tofauti na zamani) ajira zote zinasimamiwa na Serikali na si vyuo binafsi. Hivyo usipofikisha the required GPA, say ulikuwa una Degree, ukawa Lab Tech au Assistant Lec, ukipata GPA ndogo wakati wa kusoma Masters, unatolewa kwenye idara ya kufundisha completely maana unakuwa haujakidhi vigezo, haupewi u-Assistant au u-Technician wa huruma tena maana ajira hutolewa na serikali na sio chuo.
Kuhusu PhD ndo usiseme kabisa, hasa hizi za Eng m.f Civil.
-Regards.
ExactlyNikiwa chuoni tulikua na Dr ambaye alikua anajulikana kama technician, na yeye alikua hafundishi somo ila muda wake mwingi alikua Lab!
Prof anapofundisha theory tunaenda lab kukutana na huyo Dr kwa ajili ya vitendo ili ku supliment tulicho fundishwa na prof darasani.
Reason, kwa mujibu wa katafiti kangu kadogo...
Unakuta mtu umesoma Masters lakini umeshindwa kufikisha vigezo (gpa) kwa ajili ya kufundisha basi utapewa masters na utabakishwa chuoni ila hautapewa somo ufundishe bali utakua technician wa lab, kazi yako kuu inakua ni ku guide wanafunzi kwenye practicals baada ya kufundishwa Dr au Prof darasani.
NB: Technician anaye ongelewa hapa sio wa site/mtaani bali ni wa lab za chuo kikuu!
NB 2: This is not official reason ila ni kutokana na kautafiti niliko fanya back then!
Mkuu wewe ndio hukumuelewa yeye anataka ma Technician wa vyuo kwa level zao za elimu kuanzia ma Technician wenye degree master n
Sasa kwan mavyouniOk good sasa Mimi nipo hapo katika Professional designation na si education level
Hapo mkuu nimekuelewa kwa asilimia zote.Mleta mada,
kuna maana mbili za "Technician". Either kama official designation au kama level of education.
Kwa official designation, ni sahihi kuwa na Technician mwenye Dgr mpaka PhD. Anakuwa based on technical aspects za kazi zake tu.
Ila, kwa level of education, its impossible either chuoni au mtaani Technician kuwa mmiliki wa Dgr mpaka PhD maana pindi atakapo pata either, jina lake litabadilika m.f from Civil Technician Msuya to Eng Msuya or Dr. Msuya.
Kingine, toka mwaka juzi, chuo hakiajiri mtu aliyepata GPA ndogo ya Masters na Degree sababu saivi (tofauti na zamani) ajira zote zinasimamiwa na Serikali na si vyuo binafsi. Hivyo usipofikisha the required GPA, say ulikuwa una Degree, ukawa Lab Tech au Assistant Lec, ukipata GPA ndogo wakati wa kusoma Masters, unatolewa kwenye idara ya kufundisha completely maana unakuwa haujakidhi vigezo, haupewi u-Assistant au u-Technician wa huruma tena maana ajira hutolewa na serikali na sio chuo.
Kuhusu PhD ndo usiseme kabisa, hasa hizi za Eng m.f Civil.
-Regards.
Mtu ukiwa na bachelor degree ya engineering wewe huitwi Technician bali utaitwa engineer, bali wewe engineer specifically unatakiwa ujue technical issues zinazohusiana na field yako,engineer anakuwa zaidi ya Technician sikusudii kwamba engineer anajua kila kitu la hasha..
Ila ki grade kila kitu kimegaiwa mahala pake.
Mwenye diploma anakuwa technician,ni msaidizi wa engineer kama kumsaidia kufanya baadhi ya practical let's say civil technician yeye atafanya kazi za ku collect data na kuzi manipulate.
Engineer yeye atazi calculate pamoja na kufanya design hizo data alizozipata kutoka kwa technician.
Sasa mleta mada yeye defanetly kakusudia juu ya mgawanyo wa mshahara kwa kuzingatia viwango vya elimu.
Sasa mie nikamwambia huwezi ukaitwa technician kwa kuwa tayari una degree au zaidi.
Maana tuseme vyovyote iwavyo mfano mtu degree holder let's say civil.
Yeye ataitwa civil engineer/material engineer akiwa ana deal na experiments/tests za maabara kama CBR test, proctor test, permeability test, n.k
Na wala hatoitwa Technician hizi ni level zilizopangwa. Na wala sio mazoea
Mbona vyuo vingi tu vinachukua ma technician/diploma holders.
Sasa nimeelewaKwa vyuo vikuu, neno technician lina maana tofauti na uliyo nayo wewe. Hii ni kada inayojitegemea na wapo hadi wenye PhD na mishara yao ina scale maalumu. Hawa ni wasaidizi wa wahadhiri kwenye shughuli zote za kimahabara. Na lazima awe na elimu isiyopungua degree moja siku hizi.
Sasa nimeelewa
Naona umetumia nguvu nyingi Sana,Mtu ukiwa na bachelor degree ya engineering wewe huitwi Technician bali utaitwa engineer, bali wewe engineer specifically unatakiwa ujue technical issues zinazohusiana na field yako,engineer anakuwa zaidi ya Technician sikusudii kwamba engineer anajua kila kitu la hasha..
Ila ki grade kila kitu kimegaiwa mahala pake.
Mwenye diploma anakuwa technician,ni msaidizi wa engineer kama kumsaidia kufanya baadhi ya practical let's say civil technician yeye atafanya kazi za ku collect data na kuzi manipulate.
Engineer yeye atazi calculate pamoja na kufanya design hizo data alizozipata kutoka kwa technician.
Sasa mleta mada yeye defanetly kakusudia juu ya mgawanyo wa mshahara kwa kuzingatia viwango vya elimu.
Sasa mie nikamwambia huwezi ukaitwa technician kwa kuwa tayari una degree au zaidi.
Maana tuseme vyovyote iwavyo mfano mtu degree holder let's say civil.
Yeye ataitwa civil engineer/material engineer akiwa ana deal na experiments/tests za maabara kama CBR test, proctor test, permeability test, n.k
Na wala hatoitwa Technician hizi ni level zilizopangwa. Na wala sio mazoea
Mbona vyuo vingi tu vinachukua ma technician/diploma holders.
Mtu ukiwa na bachelor degree ya engineering wewe huitwi Technician bali utaitwa engineer, bali wewe engineer specifically unatakiwa ujue technical issues zinazohusiana na field yako,engineer anakuwa zaidi ya Technician sikusudii kwamba engineer anajua kila kitu la hasha..
Ila ki grade kila kitu kimegaiwa mahala pake.
Mwenye diploma anakuwa technician,ni msaidizi wa engineer kama kumsaidia kufanya baadhi ya practical let's say civil technician yeye atafanya kazi za ku collect data na kuzi manipulate.
Engineer yeye atazi calculate pamoja na kufanya design hizo data alizozipata kutoka kwa technician.
Sasa mleta mada yeye defanetly kakusudia juu ya mgawanyo wa mshahara kwa kuzingatia viwango vya elimu.
Sasa mie nikamwambia huwezi ukaitwa technician kwa kuwa tayari una degree au zaidi.
Maana tuseme vyovyote iwavyo mfano mtu degree holder let's say civil.
Yeye ataitwa civil engineer/material engineer akiwa ana deal na experiments/tests za maabara kama CBR test, proctor test, permeability test, n.k
Na wala hatoitwa Technician hizi ni level zilizopangwa. Na wala sio mazoea
Mbona vyuo vingi tu vinachukua ma technician/diploma holders.
Na unaweza ajiriwa kama Technicians, au kuna sheria inazuia hilo?Ukishakuwa na Degree ya Engineering unakuwa Engineer huwezi kuwa Technician
Ahsante sana na Master je?Kwa level ya Bachelor katika public universities mshahara wa huyo mtu ni kuanzia PUSS 4.1, wanaofahamu watakuja wakutafsirie hii scale. Karibu sana.
Kuna Technician mmoja alinifundisha Practical za Survey na GIS, pale Chuoni. Ni PhD holder.... Yupo Vizuri Sana....Tena Sanaaa Tu aliwahi sema wakati anaajiriwa pale Chuoni alikuwa na Diploma..
Kunaweza kuwa na Technician kwa 'Post' na Technician kwa 'Qualification'Unadhani kuitwa technician manaye unayo diploma mkuu