Kwa anayejua range ya mshahara wa matechnician wa Universities

Hujamuelewa sheikh,kwenye vyuo vikuu,huwa Kuna ma technician ambao huwa wanawasaidia wanafunzi wa ngazi za bachelor,Masters,PHD kufanya practicals zao,kama kuwatayarishia vifaa nk,sasa mdau anauliza,hao matechnician wanalipwa ngapi?kuanzia wale wanaosaidia watu wa bachelor mpaka PHD
E walaa ila na wakati mwengine wao pia wanakuwa na master hata PhD .....
 
Na hiki kigezo cha GPA mie ningelikuwa mshauri sidhani kama kina faida saana mtu aangaliwe uwezo wake binafsi katika ku delivery materials kwa wanafunzi, vyuoni kuna chenga nyingi za panya kupiga GPA kubwa
Kama hukuwa serious kwenye kusoma tutaamini vipi utakua serious kufanya tafiti na kufundisha watoto wetu?
 
Hujamuelewa sheikh,kwenye vyuo vikuu,huwa Kuna ma technician ambao huwa wanawasaidia wanafunzi wa ngazi za bachelor,Masters,PHD kufanya practicals zao,kama kuwatayarishia vifaa nk,sasa mdau anauliza,hao matechnician wanalipwa ngapi?kuanzia wale wanaosaidia watu wa bachelor mpaka PHD
Mkuu wewe ndio hukumuelewa yeye anataka ma Technician wa vyuo kwa level zao za elimu kuanzia ma Technician wenye degree master na Phd.
 
Mleta mada,
kuna maana mbili za "Technician". Either kama official designation au kama level of education.
Kwa official designation, ni sahihi kuwa na Technician mwenye Dgr mpaka PhD. Anakuwa based on technical aspects za kazi zake tu.
Ila, kwa level of education, its impossible either chuoni au mtaani Technician kuwa mmiliki wa Dgr mpaka PhD maana pindi atakapo pata either, jina lake litabadilika m.f from Civil Technician Msuya to Eng Msuya or Dr. Msuya.

Kingine, toka mwaka juzi, chuo hakiajiri mtu aliyepata GPA ndogo ya Masters na Degree sababu saivi (tofauti na zamani) ajira zote zinasimamiwa na Serikali na si vyuo binafsi. Hivyo usipofikisha the required GPA, say ulikuwa una Degree, ukawa Lab Tech au Assistant Lec, ukipata GPA ndogo wakati wa kusoma Masters, unatolewa kwenye idara ya kufundisha completely maana unakuwa haujakidhi vigezo, haupewi u-Assistant au u-Technician wa huruma tena maana ajira hutolewa na serikali na sio chuo.
Kuhusu PhD ndo usiseme kabisa, hasa hizi za Eng m.f Civil.

-Regards.
Ok good sasa Mimi nipo hapo katika Professional designation na si education level
 
Nikiwa chuoni tulikua na Dr ambaye alikua anajulikana kama technician, na yeye alikua hafundishi somo ila muda wake mwingi alikua Lab!

Prof anapofundisha theory tunaenda lab kukutana na huyo Dr kwa ajili ya vitendo ili ku supliment tulicho fundishwa na prof darasani.

Reason, kwa mujibu wa katafiti kangu kadogo...

Unakuta mtu umesoma Masters lakini umeshindwa kufikisha vigezo (gpa) kwa ajili ya kufundisha basi utapewa masters na utabakishwa chuoni ila hautapewa somo ufundishe bali utakua technician wa lab, kazi yako kuu inakua ni ku guide wanafunzi kwenye practicals baada ya kufundishwa Dr au Prof darasani.

NB: Technician anaye ongelewa hapa sio wa site/mtaani bali ni wa lab za chuo kikuu!

NB 2: This is not official reason ila ni kutokana na kautafiti niliko fanya back then!
Exactly
 
Mkuu wewe ndio hukumuelewa yeye anataka ma Technician wa vyuo kwa level zao za elimu kuanzia ma Technician wenye degree master n

Ok good sasa Mimi nipo hapo katika Professional designation na si education level
Sasa kwan mavyouni
Mleta mada,
kuna maana mbili za "Technician". Either kama official designation au kama level of education.
Kwa official designation, ni sahihi kuwa na Technician mwenye Dgr mpaka PhD. Anakuwa based on technical aspects za kazi zake tu.
Ila, kwa level of education, its impossible either chuoni au mtaani Technician kuwa mmiliki wa Dgr mpaka PhD maana pindi atakapo pata either, jina lake litabadilika m.f from Civil Technician Msuya to Eng Msuya or Dr. Msuya.

Kingine, toka mwaka juzi, chuo hakiajiri mtu aliyepata GPA ndogo ya Masters na Degree sababu saivi (tofauti na zamani) ajira zote zinasimamiwa na Serikali na si vyuo binafsi. Hivyo usipofikisha the required GPA, say ulikuwa una Degree, ukawa Lab Tech au Assistant Lec, ukipata GPA ndogo wakati wa kusoma Masters, unatolewa kwenye idara ya kufundisha completely maana unakuwa haujakidhi vigezo, haupewi u-Assistant au u-Technician wa huruma tena maana ajira hutolewa na serikali na sio chuo.
Kuhusu PhD ndo usiseme kabisa, hasa hizi za Eng m.f Civil.

-Regards.
Hapo mkuu nimekuelewa kwa asilimia zote.

Na nimejifunza kitu kipya. Shukran
 
Kwa vyuo vikuu, neno technician lina maana tofauti na uliyo nayo wewe. Hii ni kada inayojitegemea na wapo hadi wenye PhD na mishara yao ina scale maalumu. Hawa ni wasaidizi wa wahadhiri kwenye shughuli zote za kimahabara. Na lazima awe na elimu isiyopungua degree moja siku hizi.
Mtu ukiwa na bachelor degree ya engineering wewe huitwi Technician bali utaitwa engineer, bali wewe engineer specifically unatakiwa ujue technical issues zinazohusiana na field yako,engineer anakuwa zaidi ya Technician sikusudii kwamba engineer anajua kila kitu la hasha..

Ila ki grade kila kitu kimegaiwa mahala pake.

Mwenye diploma anakuwa technician,ni msaidizi wa engineer kama kumsaidia kufanya baadhi ya practical let's say civil technician yeye atafanya kazi za ku collect data na kuzi manipulate.

Engineer yeye atazi calculate pamoja na kufanya design hizo data alizozipata kutoka kwa technician.

Sasa mleta mada yeye defanetly kakusudia juu ya mgawanyo wa mshahara kwa kuzingatia viwango vya elimu.
Sasa mie nikamwambia huwezi ukaitwa technician kwa kuwa tayari una degree au zaidi.

Maana tuseme vyovyote iwavyo mfano mtu degree holder let's say civil.

Yeye ataitwa civil engineer/material engineer akiwa ana deal na experiments/tests za maabara kama CBR test, proctor test, permeability test, n.k
Na wala hatoitwa Technician hizi ni level zilizopangwa. Na wala sio mazoea
Mbona vyuo vingi tu vinachukua ma technician/diploma holders.
 
Kwa vyuo vikuu, neno technician lina maana tofauti na uliyo nayo wewe. Hii ni kada inayojitegemea na wapo hadi wenye PhD na mishara yao ina scale maalumu. Hawa ni wasaidizi wa wahadhiri kwenye shughuli zote za kimahabara. Na lazima awe na elimu isiyopungua degree moja siku hizi.
Sasa nimeelewa
 
Asante. Na kwa faida ya mleta uzi, mishahara yao haina tofauti kubwa na wahadhiri, wenye uwezo hujiendeleza hadi kufikia hatua za kuwa maprofesa. Ni kama ilivyo kwa librarians. Usishangae chuo kikuu kukutana na professor in librarian, na ziko scale zao za kiutumishi mpaka level za profesa.
Kama mambo hayajabadikika sana, mwaka 2016, technician grade II, mshahara wake ulikuwa 1.4m
Sasa nimeelewa
 
Mtu ukiwa na bachelor degree ya engineering wewe huitwi Technician bali utaitwa engineer, bali wewe engineer specifically unatakiwa ujue technical issues zinazohusiana na field yako,engineer anakuwa zaidi ya Technician sikusudii kwamba engineer anajua kila kitu la hasha..

Ila ki grade kila kitu kimegaiwa mahala pake.

Mwenye diploma anakuwa technician,ni msaidizi wa engineer kama kumsaidia kufanya baadhi ya practical let's say civil technician yeye atafanya kazi za ku collect data na kuzi manipulate.

Engineer yeye atazi calculate pamoja na kufanya design hizo data alizozipata kutoka kwa technician.

Sasa mleta mada yeye defanetly kakusudia juu ya mgawanyo wa mshahara kwa kuzingatia viwango vya elimu.
Sasa mie nikamwambia huwezi ukaitwa technician kwa kuwa tayari una degree au zaidi.

Maana tuseme vyovyote iwavyo mfano mtu degree holder let's say civil.

Yeye ataitwa civil engineer/material engineer akiwa ana deal na experiments/tests za maabara kama CBR test, proctor test, permeability test, n.k
Na wala hatoitwa Technician hizi ni level zilizopangwa. Na wala sio mazoea
Mbona vyuo vingi tu vinachukua ma technician/diploma holders.
Naona umetumia nguvu nyingi Sana,
Ila elewa Kuna technician huwa level yake ni bachelor mkuu. Sema sijui nikuambiaje.
a person employed to look after technical equipment or do practical work in a laboratory.
"a laboratory technician"
  • an expert in the practical application of a science.
  • a person skilled in the technique of an art or craft.
    "Liszt was one of the greatest piano technicians of all time"
Mtu ukiwa na bachelor degree ya engineering wewe huitwi Technician bali utaitwa engineer, bali wewe engineer specifically unatakiwa ujue technical issues zinazohusiana na field yako,engineer anakuwa zaidi ya Technician sikusudii kwamba engineer anajua kila kitu la hasha..

Ila ki grade kila kitu kimegaiwa mahala pake.

Mwenye diploma anakuwa technician,ni msaidizi wa engineer kama kumsaidia kufanya baadhi ya practical let's say civil technician yeye atafanya kazi za ku collect data na kuzi manipulate.

Engineer yeye atazi calculate pamoja na kufanya design hizo data alizozipata kutoka kwa technician.

Sasa mleta mada yeye defanetly kakusudia juu ya mgawanyo wa mshahara kwa kuzingatia viwango vya elimu.
Sasa mie nikamwambia huwezi ukaitwa technician kwa kuwa tayari una degree au zaidi.

Maana tuseme vyovyote iwavyo mfano mtu degree holder let's say civil.

Yeye ataitwa civil engineer/material engineer akiwa ana deal na experiments/tests za maabara kama CBR test, proctor test, permeability test, n.k
Na wala hatoitwa Technician hizi ni level zilizopangwa. Na wala sio mazoea
Mbona vyuo vingi tu vinachukua ma technician/diploma holders.
 
A technician is a worker in a field of technology who is proficient in the relevant skill and technique,[1] with a relatively practical understanding of the theoretical principles.

Wewe utakuwa umemeza zile kuwa wewe ni Engineer unayo Bachelor ukiitwa Technician ni Kama umedhalilishwa.
Bila Shaka unapenda uitwe kwa jina la hadhi ya kisomi chako like Eng, Dr.

Hii ni Wikipedia

A technician is a worker in a field of technology who is proficient in the relevant skill and technique,[1] with a relatively practical understanding of the theoretical principles
 
Huyu ni meriam website.
Yaani usikariri kuwa mwenye diploma yake ya dit,must,pekee ndiye technician.


SINCE 1828


Log inSign Up
Games & QuizzesThesaurusWord of the DayFeaturesBuying GuideM-W Books

technician​

noun
Save Word
To save this word, you'll need to log in.
Log In

tech·ni·cian | \ tek-ˈni-shən \

Definition of technician


1: a specialist in the technical details of a subject or occupationa computer technician
2: one who has acquired the technique of an art or other area of specializationa superb technician and a musician of integrity— Irving Kolodin

Examples of technician in a Sentence​

They hired a technician to help maintain the office's computers. She is the lighting technician for the play.
 
Kuna mshkaji wangu fulani ni Technician ana posho nyingi na anasafiri sana anasukuma Vanguard 2012.

Sio kiviiile ila sio mbaya pia.
 
Kwa level ya Bachelor katika public universities mshahara wa huyo mtu ni kuanzia PUSS 4.1, wanaofahamu watakuja wakutafsirie hii scale. Karibu sana.
 
Kuna Technician mmoja alinifundisha Practical za Survey na GIS, pale Chuoni. Ni PhD holder.... Yupo Vizuri Sana....Tena Sanaaa Tu aliwahi sema wakati anaajiriwa pale Chuoni alikuwa na Diploma..

Vyuoni kuna academicians na technical staff na administrative staff. Unaweza kuwa na phd ila huna vigezo vya kua academic staff GPA ya undergrad and masters hivyo unakua technical staff. Ukiwa na Diploma wewe ni technical staff na unaitwa technician , if una degree or masters or phd na huna qualification za kua academician ni technical staff na utaitwa engineer, principal or chief engineer etc kutokana na experience kazini
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom