Kwa anaye uza raini ya m,pesa

Kwa anaye uza raini ya m,pesa

Rudi darasani kwanza ujifunze kiswahili....au ulisoma shule za kata...hadi wachina wanakushinda ?si sawa
 
Ww kichwa ngumu ndio maana hujanielewa.walio elewa washa nijibu.sory
 
Mbona mnataka sana hizi line na huku hakuna faida...me nimeacha hiyo biashara
 
Mbona mnataka sana hizi line na huku hakuna faida...me nimeacha hiyo biashara
Line ni kweli hazina faida wenzio wanahitaji raini inawezekana zenyewe zinalipa!🙂
 
Back
Top Bottom