Lundavi
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 328
- 326
Habari wanajukwaa, nilikuwa nafuatilia loan board statement ili kujua kiasi kilichobaki nikilipe Sasa baada ya kuipata nimekutana na majanga. Yaani kiasi nilicholipa Kwa miaka Saba ya utumishi wangu ni kidogo sana.
Nimefuatilia ulipaji wangu toka nimeanza mwaka 2016 nikagundua Kuna baadhi ya miaka inaonekana nimelipa miezi miwili tu, miaka mingine miezi nane kati ya 12 na mwaka unaoonesha nimelipa miezi yote 12 ni mwaka 2020 tu. Nikipiga hesabu naona makato ya zaidi milioni 2 na point hayajaoneshwa kwenye loarn statement.
Tubadilishane uzoefu Kwa waliopotia hii kadhia na waliitatuaje maana hesabu zangu deni lao ni kama million 1.9 tu ila wao kwenye loarn statement wanaonesha Bado nadaiwa zaidi ya milioni 4.
Natanguliza shukrani.
Nimefuatilia ulipaji wangu toka nimeanza mwaka 2016 nikagundua Kuna baadhi ya miaka inaonekana nimelipa miezi miwili tu, miaka mingine miezi nane kati ya 12 na mwaka unaoonesha nimelipa miezi yote 12 ni mwaka 2020 tu. Nikipiga hesabu naona makato ya zaidi milioni 2 na point hayajaoneshwa kwenye loarn statement.
Tubadilishane uzoefu Kwa waliopotia hii kadhia na waliitatuaje maana hesabu zangu deni lao ni kama million 1.9 tu ila wao kwenye loarn statement wanaonesha Bado nadaiwa zaidi ya milioni 4.
Natanguliza shukrani.