Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,220
Wakuu, nawaomba yoyote ambaye amepata chumba main campus UDSM (for Boys), aniPM nipo tayari kununua chumba kwake au kukaa naye pamoja.
Nilipata chumba Ardhi Univ, ila naona ni mbali na Campus ambapo huwa mizunguko yangu ndio ipo sana mfano Maktaba na Maabara.
Natanguliza shukrani.
N.B- Itakuwa historia kwa wanaJF kukaa pamoja, room moja.
Nilipata chumba Ardhi Univ, ila naona ni mbali na Campus ambapo huwa mizunguko yangu ndio ipo sana mfano Maktaba na Maabara.
Natanguliza shukrani.
N.B- Itakuwa historia kwa wanaJF kukaa pamoja, room moja.