Kwa aliye tayari kuwa mume wangu

Kwa aliye tayari kuwa mume wangu

kuna jamaa yupo humu anataftia watu waume na wake
 
nina 26year nina hitaji mume aliyetayar kunieshim na kuwa mkwel kwangu!! nichek kwa (annieswai41@gmail.com)
Mamy nami nina shida kama ya kwako na niko tayari ila naomba unisubiri nipate mshahara mwisho wa mwezi.
 
picha pls usije ukawa na wasira face,au mochwariface

je wajua kuna siku wasira alipita kijiji kimoja watoto wakakimbilia majumbani kwao huku wakilia mamaaaaaaa tumeona duduuuu! Lakini kwa msemo wa siku hizi "mwanaume pesa sura tutavumiliana" ndo maana ukiona vidumu vya huyu duduuuu huwezi amini vinawaka kama nyota ya alfajiri
 
je wajua kuna siku wasira alipita kijiji kimoja watoto wakakimbilia majumbani kwao huku wakilia mamaaaaaaa tumeona duduuuu! Lakini kwa msemo wa siku hizi "mwanaume pesa sura tutavumiliana" ndo maana ukiona vidumu vya huyu duduuuu huwezi amini vinawaka kama nyota ya alfajiri

khaaaaaaaaaaa
 
haya jaman zigo hilo kiulainiiiiiii kama kumsukuma mlevi kenye shimo
 
Back
Top Bottom