Kwa Ajili ya Wanaume tu!!!!!!

Mimi huwa siwasemi vibaya sanasana huwa nawapenda sana wale kina dada ambao hawana complication, sio demu unatongoza miezi kibao utafikiri unachimba dhahabu, halafu ukipata siku moja tu umekinai, kama kizuri kizuri tu asikwambie mtu, hata kama kinatumika sana. Ni mtazamo tu.

Na bado, mlitakiwa muwe mnaandaa kabisa na cv zenu pamoja na vyeti vyenu vyote vikiwemo vya kuzaliwa na vya wazazi wenu then mnasubiria acceptance!!
 
hii pasua kichwa. sisemi kitu maana nikisema tu naambia mimi kiazi sina mizizi. Ngoja tuwasubiri akina Lolyz na mzee wa hekima Mr. Rock.
 
Mimi huwa siwasemi vibaya sanasana huwa nawapenda sana wale kina dada ambao hawana complication, sio demu unatongoza miezi kibao utafikiri unachimba dhahabu, halafu ukipata siku moja tu umekinai, kama kizuri kizuri tu asikwambie mtu, hata kama kinatumika sana. Ni mtazamo tu.

Mhhhhhhhhhhh! mi nilidhani ikitumika sana huwa inakuwa oversize, au?
 
Nadhani mtoa mada kama ni mwanaume hajielewi na haelewi saikolojia ya mwanaume.......mwanaume ameumbwa na tamaa,na mwanamke ameumbwa avutie......tatizo ni matumizi ya hizi tamaa ndio yanatofautiana.......kuna wengine wanajua wanataka nini na wengine hawajielewi kwa hiyo huishia kuchovya chovya kila kibuyu........
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom