Kuzuia Panya Kuingia katika Gari

Kuzuia Panya Kuingia katika Gari

Joez

Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
27
Reaction score
14
Kwa yeyote anayefahamu njia ya kuzuia panya kuingia kwenye engine ya Gari naomba msaada wake tafadhari, Nimeshatumia powder za aina zoote still bado huyo panya anaingia katika engine na kukata nyaya.
 
Hakikisha matundu yote kwenye gari kwa kutumia vipande vya mikate pia usisahau kuweka vichwa vya samaki kwenye injini amini hutamuona panya hata mmoja

Hata pumba za mahindi weka kwenye buti
 
Hakikisha matundu yote kwenye gari kwa kutumia vipande vya mikate pia usisahau kuweka vichwa vya samaki kwenye injini amini hutamuona panya hata mmoja

Hata pumba za mahindi weka kwenye buti
Aisee
 
Dawa ni poda mzee nyunyiza poda kwenye injini panya akiwa anatembea ananusa so poda inampalia anakimbia hiyo ndio dawa its real work
Nashukuru bt nimeweka saana still kila asubuh naona nyayo zao juu ya powder
 
Kuna panya alikufa kwenye cleaner ya Ac gari niliipaki kwa muda wkt nasubiri spare aisee nilipowasha Ac bila kujua lilikuja vumbi na manyoya ya panya aisee sitasahau
 
Kuna panya alikufa kwenye cleaner ya Ac gari niliipaki kwa muda wkt nasubiri spare aisee nilipowasha Ac bila kujua lilikuja vumbi na manyoya ya panya aisee sitasahau
pole sana
 
Weka kati ya paka au nyau chagua kati ya yao mmoja na hakika panya hutomuona
 
Kwa yeyote anayefahamu njia ya kuzuia panya kuingia kwenye engine ya Gari naomba msaada wake tafadhari, Nimeshatumia powder za aina zoote still bado huyo panya anaingia katika engine na kukata nyaya.
Weka tunguri, hao sio panya, ni watu wenye wivu na usafiri wako.
 
Kuna panya alikufa kwenye cleaner ya Ac gari niliipaki kwa muda wkt nasubiri spare aisee nilipowasha Ac bila kujua lilikuja vumbi na manyoya ya panya aisee sitasahau
pole sana
 
Kuna panya alikufa kwenye cleaner ya Ac gari niliipaki kwa muda wkt nasubiri spare aisee nilipowasha Ac bila kujua lilikuja vumbi na manyoya ya panya aisee sitasahau
Gari ya kusubiri spea ni ya aina gani hiyo?
 
Back
Top Bottom