Goheki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 448
- 387
Kitendo cha Nape kusema hatakubali viongozi waliyofilisi mashirika ya umma,hatakubali wagombee uongozi ndani ya ccm ni upuuzi. Ina maana akiwazuia,anawafahamu fika badala ya kuwazuia anapaswa awaooredheshe majina na kuwataja pia sheria kuchukua mkondo wake.Vinginevyo haina maana kwa wakati.