Gari jipya linaponunuliwa lazima lifanyiwe kafara.
Especially mabasi na malori ya masafa marefu..waarabu,wahindi na baadhi ya makabila .
Wengine wanafunga zindiko kama vitambaa au chochote kwenye matairi.
Au angalia mbele kwa dereva..
Si ajali zote za kimungu kuna zingine wanatengeneza binadamu.. kwa ajili ya kafara zao za biashara.
Sent from my M2101K7BG using
JamiiForums mobile app