Huliza
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 392
- 982
Wanajukwaa, Miaka ile wakati baadhi ya watu tukishiriki kwenye elimu ya Tanzania ilikuwa ni migomo kabla hujaingia chuo,ukiingia mpaka siku unaondoka chuo. Tangu Rais Magufuli aingie madarakani mwaka 2015 habari za migomo vyuoni imebaki historia
Migomo inachelewesha wanafunzi kusoma na kuwa na mawazo mbadala. Taifa hili leo hii limeweza kuajiri maelfu ya vijana kutoka na umahiri na udhibiti mzuri wa JPM vyuoni tangu mwaka 2015
Huduma bora zimeimalika vyuoni kwa upande wa ada na pesa za kujikimu kuongezeka zaidi baada ya mfumuko wa bei kudhibitiwa,Wakati wa migomo watu walitumia pesa hovyo kutafuta sehemu za kuishi lakini sasa Wanafunzi wamejikita kwenye elimu
Ajira elfu nane za walimu wa msingi na sekondari ni uthibitisho kuwa sasa Wanafunzi wetu wanapikwa na kupikika na hawakushiriki migomo vyuoni,
Baada ya kugundua migomo haifai na haijengi Halima Mdee na wenzake wameamua kuunga mkono juhudi za kuleta maendeleo
Ukipita maeneo mbalimbali vijana wenye umri wa miaka 21 mpaka 27 wameajiriwa kwa maelfu tangu 2014 mpaka sasa katika kila sekta, Ushahidi ni walimu zaidi ya elfu nane walioajiriwa kwa mkupuo na hii haijawahi tokea kwa wakati mmoja kuajiri idadi kubwa namna hii
Kila mtu mtaani mwenye mtoto aliyepata nafasi hizi ni Furaha kubwa sana hata Raia wa kawaida wana furaha na raha isiyo ya kifani kutokana na maendeleo makubwa ya huduma yaliyofanyika chini ya Magufuli
Hasira na Povu linaruhusiwa lakini povu liwe la kiasi katika kuchangia uzi huu kwani povu ni sehemu ya kupunguza stress
Viva CCM Viva CCM,
Migomo inachelewesha wanafunzi kusoma na kuwa na mawazo mbadala. Taifa hili leo hii limeweza kuajiri maelfu ya vijana kutoka na umahiri na udhibiti mzuri wa JPM vyuoni tangu mwaka 2015
Huduma bora zimeimalika vyuoni kwa upande wa ada na pesa za kujikimu kuongezeka zaidi baada ya mfumuko wa bei kudhibitiwa,Wakati wa migomo watu walitumia pesa hovyo kutafuta sehemu za kuishi lakini sasa Wanafunzi wamejikita kwenye elimu
Ajira elfu nane za walimu wa msingi na sekondari ni uthibitisho kuwa sasa Wanafunzi wetu wanapikwa na kupikika na hawakushiriki migomo vyuoni,
Baada ya kugundua migomo haifai na haijengi Halima Mdee na wenzake wameamua kuunga mkono juhudi za kuleta maendeleo
Ukipita maeneo mbalimbali vijana wenye umri wa miaka 21 mpaka 27 wameajiriwa kwa maelfu tangu 2014 mpaka sasa katika kila sekta, Ushahidi ni walimu zaidi ya elfu nane walioajiriwa kwa mkupuo na hii haijawahi tokea kwa wakati mmoja kuajiri idadi kubwa namna hii
Kila mtu mtaani mwenye mtoto aliyepata nafasi hizi ni Furaha kubwa sana hata Raia wa kawaida wana furaha na raha isiyo ya kifani kutokana na maendeleo makubwa ya huduma yaliyofanyika chini ya Magufuli
Hasira na Povu linaruhusiwa lakini povu liwe la kiasi katika kuchangia uzi huu kwani povu ni sehemu ya kupunguza stress
Viva CCM Viva CCM,